Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital
BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), imezidi kuongeza wigo wa mikopo kwa wakulima baada ya kuingia makubaliano ya miaka mitano na benki ya Exim y… Read More
Mkuu wa Tawi la Utawala JKT na Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiondoa kitambaa tayari kuzindua jiko la gesi katika Kikosi 8… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MAMLAKA ya Usimamizi wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imesaini mkataba wa makubaliano na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini wenye thamani ya Dola za Ki… Read More
Taasisi ya Internet Society Tanzania imewahimiza wananchi kutumia fursa ya huduma ya Internet kujiletea maendeleo, badala ya kufuatilia mambo yasiyo ya msingi na kupoteza muda na gharama z… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Benki ya NMB imezindua kampeni ya Umebima Wilaya ya Kahama Mkoa wa Shinyanga - Kanda ya Magharibi kwa lengo la kuhamasisha Watanzania kukata Bima… Read More
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Mha.Poline Msuya akifungua kikao kazi cha Wakurugenzi wa Mamlaka za maji kuhusu mfumo wa kieletroni wa MajIs ulioboreshwa kwa ajili ya kupokea taarifa za… Read More
*Makundi makubwa mawili yaibuka CCM Rory
*Mwenyekiti wa CCM, DC warushiwa kombora, wenyewe wajibu
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
ZIARA ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM… Read More
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa ameipongeza Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa namna inavyodhibiti biashara ya dawa… Read More
*Awataka wana-CCM kuziendea chaguzi kwa kujiamini
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
KATIBU Mkuu mpya wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania, Ally Hapi amesema atahakikisha anasimamia Jumuiya hiyo ili iwe ye… Read More
Shirika la Viwango Tanzania ( TBS ) , Leo Machi 28, 2024 limeadhimisha siku ya viwango Afrika na kutoa vyeti na zawadi kwa Washindi 10 Bora wa Mashindano ya Insha ambapo Washindi wa nafasi… Read More
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amekutana na Balozi wa China nchini, Mhe. Chen Mingjian, leo Ijumaa, Machi 14, 2024, Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya… Read More
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Cuba, nchini Tanzania, Mhe. Yordenis Despaigne Vera. Katika Mazungum… Read More
Madiwani wa kata zote 41 za jijini Dodoma wakifatilia Mkutano ulioandaliwa na Shirika la Umeme (TANESCO) Mkoa wa Dodoma.
Na.Mwandishi Wetu-DODOMA
SHIRIKA la Umeme (TANESCO) Mkoa wa Dodom… Read More
Na Mwandishi Wetu, Kigoma
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania (TAWA), Mabula Nyanda, amempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuiwezesha taasisi hiyo kukami… Read More
Na Oscar Assenga,TANGA
CHAMA cha Alliance For Democratic Change (ADC-Dira ya Mabadiliko ) kimeanza kujiweka sawa kuelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwakani na ule Mkuu mwaka 2025… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya Uuzaji na Usambazaji wa Matofali na vifaa vya ujenzi maarufu Jenga na Mimi Investment imetoa zawadi ya mahitaji ya Sikukuu ya Krismasi na Mw… Read More
Na Mwandishi wetu
Uwepo wa ngoma za jadi wanazochezwa wasichana wadogo kwa jamii ya Mkoa wa Pwani kumechangia uwepo wa ndoa na mimba za utotoni na kusababisha wasichana kuhsindwa kufikia… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
KATIKA kuadhimisha miaka 62 ya Uhuru wa Tanganyika leo Desemba 9, Mwekezaji wa maduka ya watoto, Louis Bonzon, amefungua rasmi duka la vifaa vya watoto j… Read More
Na John Walter-Manyara
Juhudi za kuwaokoa watu waliokwama kwenye Matope zimeendelea Vijiji vya Katesh na Gendabi wilayani Hanang mkoani Manyara baada ya Mafuriko kuyakumba maeneo hayo na… Read More
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy (kulia), akiwasilisha Taarifa ya Utendaji Kazi wa Wakala hiyo kwa Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga (katika… Read More
Na John Bera - Manyara
Timu ya Maafisa Wandamizi kutoka Vyombo vya Ulinzi na Usalama vya Zambia vinavyohusika na uzuiaji ujangili wamefika nchini kwa lengo la kujifunza n… Read More
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Godfrey Chongolo amesema CCM iko salama na imara katika kusimamia misingi, shabaha na malengo yake, ikiwemo kuendelea kuwa daraja la… Read More
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa Komredi Fakii Raphael Lulandala (MNEC),akizungumza na Viongozi wa UVCCM kutoka Mikoa mbalimbali, na Watumishi Makao w… Read More
Na Mwandishi Wetu.
Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeahidi kushirikiana na Benki ya NMB ili kuimarisha, kukuza na kuendeleza ujuzi na vipaji kwa vijana wa Kitanzania… Read More
Na. Jacob Kasiri- Kitulo.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Mhe. Benedict Wakulyamba amelipongeza Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa uhifadhi uliotukuka na u… Read More
Habari zilizotufikia Maswayetu blog ni kwamba chuo cha sayansi na tiba cha DECCA kilichopo Mkoani Dodoma kimeamua kuwafukuza wanafunzi wake 17 ambao walihoji uhalali wa kozi wanayosoma… Read More
Makao makuu ya halmashauri ya Chalinze
NA. ELISANTE KINDULU, CHALINZE
HALMASHAURI ya Chalinze Mkoa wa Pwani, imepokea jumla ya shilingi 2,222,000,000 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya… Read More
*************
Na Mwandishi wetu
UONGOZI wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kutambua umuhimu wa michezo katika kujenga afya ya mwili na akili kwa wafanyakazi, umejenga kiwanja cha m… Read More
* Zitto, Lipumba wakwepa mtego, wautosa mkutano huo
* Wananchi wachache wahudhuria, wengi wachoshwa na siasa za uchonganishi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Mkutano ulioandaliwa… Read More
Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo, akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa SimBanking App inayotumia teknolojia ya kisasa zaidi inayowezesha kutambua mahitaji ya wa… Read More
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akipokea zawadi ya tuzo kutoka kwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Innocent Bashungwa… Read More
Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Abdalla Hussein Kombo (katikati), Afisa Biashara Mkuu Benki ya CRDB, Boma Raballa (wapili kushoto), Mkurugenzi w… Read More
Mkurugenzi Mkuu wa TBS, Dkt.Athuman Ngenya akikabidhi vyeti na leseni kwa wazalishaji wa bidhaa ambazo zimekidhi matakwa ya Viwango. Hafla hiyo imefanyika leo Juni 17,2023 Makao Makuu ya TB… Read More
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZA MATUKIO
Na Sumai Salum Kishapu
Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Holysmile yenye makao yake makuu wilayani Kahama mkoani Shinyanga iliyoanzishwa na kusimamiwa… Read More
Kaimu Meneja wa NMB Kanda ya Kaskazini Praygod Godwin akizungumza na wafanyabiashara mkoani Tanga jana kuhusu namna walivyojipanga kuendelea kutoa huduma nzuri kwa wafanyabiashara pamoja na… Read More
Seattle, Marekani
Kampuni kubwa ya biashara ya utalii duniani kupitia mtandao, Expedia Group, imeahidi kushirikiana na Serikali ya Tanzania kupitia Bodi ya Utalii (TTB), kutangaza na kul… Read More
Na Mwandishi Wetu, Morogoro
Mradi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami Dumila-Kilosa-Mikumi sehemu ya LUDEWA-KILOSA yenye urefu wa kilometa 24 umefikia asilimia 90 ambapo mra… Read More
KATIKA kipindi cha miaka mwili ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mtandao wa barabara za vijijini na mijini kwa Mkoa wa Ruvuma zimeimarika mara… Read More
Meneja wa uandaaji Viwango TBS, Mhandisi Yona Afrika akizungumza na waandishi wa habari hapo jana Machi 20,2023 katika Makao Makuu ya TBS Jijini Dar es Salaam Afisa Viwango TBS, Mhandisi Pro… Read More
Rais wa Bunge la Afrika (Pan - African Parliament (PAP), Mhe. Chifu Fortune Charumbira akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mikutano ya Kamati za Kudumu za Bunge la Afrika (PAP) na vyombo vingi… Read More