Mkaguzi Mkuu wa Ndani Msaidizi wa Hesabu za Serikali Bw. Paison Mwamnyasi akizungumza wakati wa mafunzo maalum kwa Wakaguzi wa Ndani
Mkurugenzi wa Udhibiti na Usalama wa TEHAMA Mamlak… Read More
Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB) kwa kushirikiana na Shule ya Sekondari ya Coastal ya jijini Tanga, zimezindua Klabu ya Mkonge kwa wanafunzi wa shule hiyo ambayo imelenga kuwafundisha vij… Read More
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa (wa pili kushoto) akiwa katika pikipiki zilizokabidhiwa na Benki ya CRDB kwa Kituo cha Polisi cha Utalii na Diplomasia jijini Arusha kwa… Read More
* Pato la Taifa lafikia Sh. trilioni 200 kwa mwaka 2023 kutoka Sh. trilioni 163 ya mwaka 2021
* Uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya na ni wa 6 kwa ukubwa kwa… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
UKAGUZI wa Ufanisi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) ameimulika REA kuanzia mwaka 2015/2016 mpaka… Read More
Na Mwandishi wetu - Malunde 1 blog
Benki ya CRDB imefunguaTawi la Benki ya CRDB Kaliua Mkoani Tabora huku ikiwataka wananchi kuchangamkia fursa za maendeleo zinazotolewa na Benki hiyo.
A… Read More
Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu George Simbachawene akizindua Mpango shirikishi wa Taifa wa kuzuia kipindupindu jijini Dodoma.Na 1Dotto Kwilasa, Malunde1 B… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mikopo kwa watumishi wa umma, imejitolea Sh milioni 15 kusaidia gharama ya matibabu ya wat… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeeleza hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini inayoendelea nchi nzima.
Taarifa ya utekelezaj… Read More
aafisa wa Upelelezi wanamsaka mwanamume wa umri wa miaka 31 ambaye anadaiwa kumuua kakake mkubwa katika kisa cha madai ya ugomvi wa kimapenzi unaohusisha dada yao mdogo katika eneo la Kiriny… Read More
Watoto 11 wamefariki dunia baada ya moto kuzuka katika shule ya watoto wasioona nchini Uganda.Watoto wengine wanne wako katika hali mahututi na wanatibiwa hospitalini.Chanzo cha moto uliozuk… Read More
Mtaalamu wa maji kutoka Benki ya Dunia Rwegoshora Makaka akizungumzaNa Suzy Luhende, ShinyangaWananchi wa kata ya Ukenyenge wilayani Kishapu wameishukuru Benki ya Dunia kwa kushirikiana na W… Read More
Naibu Waziri wa Mambo wa Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Damas Ndumbaro
Na Ramadhan Hassan, Arusha
Hatma ya mgogoro wa kugombea kitalu cha uwindaji wa kitalii cha Lake Natr… Read More
Rais Samia Hassan Suluhu akiweka jiwe la Msingi katika Chuo cha VETA Mbarali Rais Samia Hassan Suluhu akiweka jiwe la Msingi katika Chuo cha VETA Mbarali Baadhi ya Mawaziri walioko katika Ms… Read More
ALIYEKUWA Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020 kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Bernard Membe amerudi rasmi kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM).Mh… Read More
Na Derick Milton, Bariadi
MKUU wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila ametoa siku saba kwa mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Lupakisyo Kapange kufanya tathimini ya uamuzi uliofanyika wa kuhamisha magari… Read More