Mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya Msingi Msisha halmashauri ya wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera Joyce Exavery (13) ameuawa kwa kukatwa mapanga akiwa nyumbani kwao katika kijij… Read More
Meneja wa Mladi wa Kifua Kikuu na Ukimwi kutoka shirika la MDH Dkt. Frenk MaruguBanda la maonyesho la MDH pamoja na wafanyakazi wa MDH**Na Mbuke Shilagi-Kagera.Takriban watu 2,557 wame… Read More
Mshauri wa matibabu wa GGML Michael Mgonea (kulia) akionyesha jinsi ya kufanya ufufuaji wa moyo na mishipa katika maonyesho ya nne ya teknolojia ya madini yanayoendelea kwenye uwanja wa EPZA… Read More
Na Faraja Mpina, BUKOBANaibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew ametengua uteuzi wa Meneja wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wa Mkoa wa Kagera Bi. Ir… Read More
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan itaendelea kusimamia bei nzuri ya mazao kwa wakulima nchini.Ametoa kauli hiyo… Read More
Picha ya mnyama Nguruwe.Serikali imepiga marufuku wananchi wa Kanda ya Ziwa kula nyama ya Nguruwe ikiwa ni hatua za kukabiliana na mlipuko wa homa ya nguruwe uliotokea hivi karibuni.Akizungu… Read More
Na Allawi Kaboyo – Ngara.Naibu katibu mkuu wizara ya maji ambaye anaendelea na ziara yake ya kukagua miradi ya maji mkoani Kagera Mhandisi Nadhifa Kemikimba, amesikitishwa na vit… Read More
Na Munir Shemweta, WANMM KAGERANaibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameonesha kutoridhishwa na kiasi cha fedha kilichotengwa na halmashauri nane za mkoa wa… Read More
Na Avitus Benedicto Kyaruzi, Kagera.Mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Genelari Marco Elisha Gaguti ameendelea kuwasisitiza wananchi mkoani kagera kujitokeza na kujiandikisha kwa wingi kw… Read More
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amemwagiza Naibu Waziri wa Kilimo, Innocent Bashungwa kutafuta fedha za kuwalipa wakulima wa zao la kahawa mkoani Kagera kwa bei inayoridhisha kulingana n… Read More