Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

MWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSISHA AUAWA KWA KUKATWA MAPANGA

Mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya Msingi Msisha halmashauri ya wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera Joyce Exavery (13) ameuawa kwa kukatwa mapanga  akiwa nyumbani kwao katika kijiji cha Ruhita kata ya Kamuli.


Tukio hilo limetokea jana mchana Jumapili Desemba 25,2022 ambapo inaelezwa kuwa mwanafunzi huyo alifanyiwa ukatili (kuchinjwa) na mtu/watu ambao bado hawajafahamika.

Kamanda wa Polisi wa Kagera William Mwampagale amethibitisha kutokea kwa tukio hilo akizungumza na Malunde 1 blog


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

MWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSISHA AUAWA KWA KUKATWA MAPANGA

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×