Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Terry Strong akiwa pamoja na mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo Vallence Ibrahim wakiongoza matembezi hayo ambayo yalishirikisha baadhi ya wafanyakazi na wak… Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi akiongoza Matembezi na mbio fupi za Uzazi Ni Maisha Wogging 2023 yalioanzia viwanja vya Butros Kiembe Samaki n… Read More
Mke wa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Bi.Marina Juma (katikati) akiwaongoza wake wa majaji kwenye matembezi katika kuadhimisha siku ya Nanenane, matembezi ambayo yalianzia nyumbani kwake… Read More
Kamanda wa polisi mkoani Shinyanga ACP Janeth Magomi akizungumza kwenye kambi ya wazee wa Kolandoto.Na Marco Abel, ShinyangaMTANDAO wa polisi wanawake mkoa Shinyanga wamefanya matembez… Read More
Benki ya CRDB imekabidhi kituo cha mawasiliano katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road ikiwa ni matokeo ya fedha zilizokusanywa katika mbio za CRDB Bank Marathon 2021. Kituo hicho cha kisas… Read More
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson akizungumza kwenye ufunguzi wa mbio za Marathon kuelekea uchaguzi Mkuu ngazi ya UVCCM unaotarajiwa kufanyika Novemba 27,20… Read More
Wananchi wa Wilaya ya Temeke waliojitokeza kwenye Bonanza la hitimisho la hamasa ya Sensa ya watu na Makazi lililofanyika katika viwanja vya Zakiem Mbagala Jijini Dar es Salaam Mkuu wa Wilay… Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimewakaribisha na kuwashauri wananchi wakiwemo wazazi walezi kutembelea banda lao la Maonesho ya 16 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknoloj… Read More
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amewaonya watumishi wanaofanya biashara ya kuuza damu kinyume cha sheria za nchi na kwamba hata sita kuwawajibis… Read More
Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoani Tanga (Tanga Press Club) Lulu George akizungumza na waandishi wa habariKLABU ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Tanga imeandaa Bonanza ambalo li… Read More
Serikali ya Marekani ina mpango wa kuziongeza Nchi nyingine 7 ikiwemo Tanzania kwenye orodha ya Nchi ambazo Raia wake wamewekewa zuio/vikwazo vya kuingia Nchini humo ambapo Nchi nyingine kwe… Read More
Na Marco Maduhu - Malunde1 blog.Umoja wa makanisa ya Kipentecoste Mkoani Shinyanga wamefanya mazoezi na kuchangia damu salama, ili kuunga juhudi za Serikali ya awamu ya tano kwa kuimarisha a… Read More
Utafiti umeonesha kuwa karibu nusu ya saratani zote zingezuilika kwa njia ya mabadiliko katika mtindo wa maisha. Zaidi ya theruthi moja ya vifo vinavyotokana na saratani ulimwenguni ko… Read More