Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe amedai miongoni mwa sababu za timu ya Serengeti Boys kufanya vibaya ni baadhi ya Mawakala wa wachezaji wa nchi za nje ku… Read More
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya miaka 17 'Serengeti Boys' Oscar Mirambo amesema bado wana nafasi ya kupata matokeo michezo yao inayofuata licha ya kupoteza mchezo… Read More
Kocha Manu Garba wa timu ya Taifa Nigeria chini ya miaka 17, amesema hana presha na mchezo wao wa ufunguzi dhidi ya Tanzania.Amesema anaifahamu Tanzania vizuri baada ya kukutana nao katika M… Read More
Ukwepaji Kodi: TRA wawashusha Serengeti Boys njiani walipokuwa wakielekea kwa Makamu wa Rais Mamlaka ya Mapato Tanzania Wamewashusha Njiani Timu ya vijana… Read More
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefungua mashindano ya AFCON U17 na kutangaza kuwa kuanzia kesho Watanzania wataingia bila kulipia.Ametoa kauli hiyo leo jioni (Jumapili, Aprili 14, 2019) kwenye… Read More
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amevitaka vilabu vya soka nchini kutumia vema fursa ya kuwa na mashabiki wengi katika kuvifanya viweze kujitegemea kiuchumi.Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumam… Read More
Kikosi cha Singida UnitedKlabu ya soka ya Singida United imethibitisha kuwa makocha wao wapya wamewasili jijini Mwanza na kuungana na timu tayari kuanza kazi ya kusaka alama tatu dhidi ya Mb… Read More
February 23 2017 wakati wa uzinduzi wa mfuko wa kuchangia Serengeti Boys Waziri wa habari, Sanaa, utamaduni na michezo Nape Moses Nnauye amezungumzia kuhusu mashabiki wataokwenda kutazama me… Read More