Isingekuwa shida sisi kama familia tusingemjua daktari bingwa BAKONGWA aliyemtibia baba yetu ugonjwa wa sukari ya kupanda na shinikizo la damu ambalo kwa hakika hospitali walituh… Read More
Zaidi ya madaktari 100 kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa wamepewa mafunzo na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), ili kuwawezesha kufanya tathmini stahiki kwa wafanyakazi wanaopata majanga kazi… Read More
Nilitaka sana na kutamani kwa muda mrefu lakini haikuwezekana kabisa, mwanzoni nilidhania kuwa kizazi change kiko mbali lakini wala ilikuwa tu ni magonjwa yaliyo nishambulia kipindi cha nyu… Read More
Nilipoambiwa kuwa maisha yangu yapo hatarini na siku zangu za kuishi ziko ukingoni ndipo nilipoanza kufanya kila jitihada iliyoko ndani ya uwezo wangu kusudi nijinasue kwenye ugonjwa huo mb… Read More
Ninaitwa Nathaniel kazi yangu ni uuzaji na usambazaji wa magari kutoka China kuleta Tanzania.Kazi yenyewe siyo kongwe sana kwangu ni kazi niliyoifanya kwa muda wa miaka mitatu sasa kabla si… Read More
Watumishi wa Chuo cha Ufundi Stadi VETA mkoani Shinyanga wakiwa katika Semina ya utumishi wa umma na kuzingatia afya zao wanapokuwa katika utekelezaji wa majukumu yao.Na Marco Maduhu, SHINYA… Read More
Kikundi cha mazoezi (PJFCS), Polisi na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga wakiwa katika Hospitali ya Rufaa leo wakitoa masaada wa vifaa tiba, vyakula lishe kwa ajili ya kunusuru Afya za wato… Read More
Naibu Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila Dkt. Julieth Magandi wakati akiongea na waandishi wa habari kuhusu kambi maalumu ya huduma tiba ya kuweka puto maalum (intr… Read More
*******************Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imezindua huduma mpya ya kuweka puto maalumu kwenye tumbo la chakula kwa watu wenye uzito uliopitiliza (intragastic ballon) ambayo… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Sophia Mjema akipima Macho akiwa na Mbunge wa Vitimaalum wa Mkoa huo Lucy Mayenga, alipofanya ziara ya kukagua zoezi la utolewaji matibabu ya macho bure kwa wananch… Read More
Muuguzi akionesha mojawapo ya njia salama za uzazi wa mpango ambayo ni kitanzi. ****************** Na Irene Mark WAKATI Dunia ikiadhimisha siku ya uzazi wa mpango kila Septemb… Read More
Mrembo baada ya gundi kuondolewa kwenye kichwa chakeDkt Michael Obeng Daktari bingwa wa upasuaji wa kurekebisha maumbile,Michael Obeng, Mmarekani mwenye asili ya Ghana,amefanikiwa kuond… Read More
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) wakitoa huduma ya magonjwa ya moyo kwa wananchi katika hospitali ya Msoga ,Halmashauri ya Chalinze****NA. ELISANTE KINDULU, CHALINZETAASISI ya moyo y… Read More
DAKTARI mmoja nchini Uingereza ambaye ni raia wa Misri, Hossam Metwally amehukumiwa kwenda jela miaka 14 baada ya kukutwa na hatia ya kumdunga mke wake sumu akiwa katika harakati za ‘k… Read More
WANAFUNZI watatu walionusurika kwenye ajali ya Shule ya Lucky Vincent, wamefanya maajabu katika mtihani wa kidato cha nne na kufaulu vizuri kwenye masomo ya sayansi.Wanafunzi hao ni Doreen E… Read More
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Macho kutoka Hospitali ya Rufaa Dodoma, Dk. Msigaro Erasto,akieleza hali ya magonjwa mbalimbali ya macho katika maadhimisho ya wiki ya afya ya macho Duniani jij… Read More
Mkurugenzi wa Kuratibu Utafiti wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Dk. Paul Kazyoba.**WATAALAMU wa afya nchini wamebainisha hakuna uhusiano kati ya chanjo na kuong… Read More
Awali, Balozi wa Marekani nchini, Dk. Donald Wright, akizungumza na Waandishi wa Habari Agosti 5, mwaka huu jijini Dar es Salaam wakati wa maswali na majibu kwa waandishi wa habari.
Na Fara… Read More
Mkutano wa "Tanzania Maternal Mortality and Nutrition - Mama Mjamzito na Mbogamboga" ambao umeandaliwa na Mbunge Neema Lugangira ambaye pia ni Mkurugenzi wa Shirika la Agri Thamani ukiendele… Read More
Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) Justina Mashiba akiwasilisha taarifa ya majukumu ya Mfuko huo katika semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya… Read More
Kongamano la wanawake Shinyanga mjini (Women's Day Out), lililoandaliwa na Kikundi cha Wanawake na mabadiliko (Women for Change - WFC ), limehudhuriwa na mamia ya wanawake kutoka Shinyanga m… Read More
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imethibitisha kuwa, majeruhi watatu kati ya 11 wa ajali ya moto Morogoro waliokuwa wamelazwa hospitalini hapo, wameruhusiwa kurudi nyumbani baada ya afya z… Read More
Watu watano wamefariki dunia wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro baada ya kung’atwa na mbwa wenye kichaa.Daktari bingwa wa magonjwa ya dharura na ajali wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Dk… Read More