Na Mwandishi Maalum.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, akimkabidhi cheti cha shukrani ya udhamini Mkurugenzi wa Huduma za TE… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Viongozi 60 wa Jumuiya ya Wazazi kutoka Wilaya ya Kusini Unguja Zanzibar wamepatiwa mafunzo ya ujasiriamali ili waweze kujikwamua kiuchumi.
Mafunzo hayo… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu akisalimiana na wanachama wa Saccos ya Kizimkazi Mkunguni Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar wakiongozwa na Mwenyekiti wa Saccos hiyo Bw Sai… Read More
Baraza kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) limetupilia mbali rufaa za waliokuwa wanachama wake 19 na kubariki maamuzi ya kuwafukuza uanachama yaliyofanywa na Kamati kuu ya cha… Read More
UPOPO mkubwa ulioambatana na mvua, umesababisha baadhi ya wananchi wa mkoa wa kusini Unguja, kuyaacha makaazi yao baada ya nyumba zao kuezuliwa mapaa huku baadhi ya mazao yakiharibiwa.Akizun… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan (katikati) akikata utepe kuzindua Afisi ya Maendeleo kata ya Kizimkazi Dimbani na nyumba mbili za madaktari zilizonjengwa kwa ufa… Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi amewasimamisha kazi Wakurugenzi wote wa halmashauri za wilaya za Unguja, baadhi ya Wakurugenzi wa Taasisi na Idara z… Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wanafunzi kutumia vyema fursa za kuwepo miundombinu bora ya masomo kwa kusoma kwa bidii na… Read More
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imetia saini Hati za Maelewano (MOU) zinazohusu Mpango Mkuu wa Upembuzi yakinifu juu ya ujenzi wa Bandari Shirikishi ya Uvuvi katika eneo la Mpi… Read More
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dk Hussein Mwinyi amesema akipata ridhaa ya kuongoza ataboresha miundombinu ya umeme na kuwapunguzia gharama za nishati hiyo wananachi wasi… Read More
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza hali mbaya ya hewa kwa siku tano kuanzia jana Jumatano Februari 12, 2020.Taarifa ya TMA imeitaja mikoa inayotarajia kunyesha mvua kubwa kwa… Read More
Mwenyekiti wa Bodi ya ZIFF, ambaye ni Waziri wa Habari, Utalii na mambo ya Kale, Mahmoud Thabit Kombo akiwa katika picha ya pamoja na Mama Yvonne Chaka Chaka Mjini Unguja… Read More
Shule za sekondari Kwizu na Masjadi Qubah zilizo miongoni mwa 10 zilizofanya vibaya kitaifa mtihani wa kidato cha nne 2018, zimetaja sababu ya kutofaulisha vizuri, huku mkuu wa shule y… Read More
Mvua za masika zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini, zinatarajiwa kuendelea hadi mwezi Mei mwaka huu.Akizungumza na Gazeti la Mtanzania ofisini kwake Jumanne hii, Meneja Mtandao w… Read More