Serikali imelitaka Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kuhakikisha linapanga mikakati madhubuti itakaloliwezewesha kukua na kujiendesha kwa tija baada ya uwekezaji mkubwa unaofanywa kupitia u… Read More
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mikondo Miwili ya Uzalishaji Maji wa Kiwanda cha Suma JKT Bottling Jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Majeshi… Read More
Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Bw. Hamza Johari (katikati) akisaini Kandarasi ya Mkataba wa Utekelezaji wa Mradi wa Mfumo wa Usimamizi na Utoaji wa Taarifa za Anga na Kampuni ya Indra Avitech w… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Benki ya NMB imeendesha Warsha ya Siku ya Walimu Katika Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga kwa ajili ya kutambua mahusiano mazuri yaliyopo kati ya… Read More
Naibu Katibu Mkuu wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo),Dkt Daniel Mushi akiongea na uongozi na wafanyakazi wa kiwanda kikubwa cha kuchakata nyama cha Eliya Food Overseas Ltd kilichopo wilaya… Read More
Siah Malle akitoa tathmini ya miradi ya kiuhandisi iliyobuniwa na wahandisi vijana wa kike katika na Maonesho na Kongamano la 8 la Wanawake Wahandisi Tanzania (TAWECE) yaliyofanyika Zanzib… Read More
***************
*Asema maono yake kwenye filamu ya Royol Tour utalii umejibu
*Asisitiza CCM haina muda wa kujibu lugha za matusi, wao wanaongoza nchi
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV &ndas… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda akiendesha moja ya baiskeli ya magurudumu matatu iliyotengenezwa na kubuniwa na Taasisi ya Tanzania Open Innovation Organizatio… Read More
Mkurugenzi wa Tume ya Tehama (ICTC), Dk. Nkundwe Mwasaga,akizungumza kuhusu mwamko wa vijana wenye bunifu na umuhimu wa Tume hiyo.
Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI wa Tume ya Tehama (ICTC)… Read More
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo na Naibu Makamu Mkuu Taaluma, Utafiti na Ubunifu Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Profesa. Antony Mshandete akizungumza na wajumbe w… Read More
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu wamewataka Watanzania kutumia Kondomu pindi wanaposhiriki ngono ili kujikinga na maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI na ku… Read More
Mhadhiri kutoka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Dkt. Cecilia China (Kulia) akionyesha dawa ya asili ya kusindika ngozi ambayo inasaidia kuondoa matumizi na uteg… Read More
Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege akiwa amekaa katikati ya Timu ya Watumishi wa Tume ‘TCDC Ushirika Sport’ mara… Read More
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akipokea zawadi maalum kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Bw Theobald Sabi (Kulia) wakati wa hafla futari iliyoandali… Read More
Veronica Simba na Issa Sabuni - REA
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imesema imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini mkoani Singida na imewas… Read More
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy akizungumza wakati wa Semina ya Kuwajengea uwezo wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini iliyofan… Read More
Na Mwandishi Wetu. KATIBU Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa)… Read More
Mkurugenzi wa Benki ya CRDB nchini Congo, Jesca Nachiro (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania, Plasduce Mbossa wakiwa wameshika banngo lenye kutambulisha mfumo mpya wa… Read More
Na Mwandishi wetu- MaraWasomi na vijana wamekumbushwa umuhimu wa kuwa wazalendo, kujenga ,kuiendeleza na kuilinda Nchi na watu wake kwaajili ya maslahi ya Maendeleo ya Taifa.Akizungumza kati… Read More
Na Norah Damian, Mtanzania Digital
Baada ya Serikali kufanya marekebisho ya sheria yanayoruhusu watu wenye ulemavu kukopa mikopo inayotolewa na halmashauri bila kuwa kwenye kikundi, wengi wa… Read More
Na Yohana Shida, Geita
Nchini Tanzania Sensa ya Watu na Makazi ni zoezi la Kitaifa linalofanyika kila baada ya miaka 10 ambapo sensa ya mwisho kufanyika ilikuwa mwaka 2012.
Sensa ya mw… Read More
*Yasema Kilichallenge imeleta mafanikio mazuri
*Yakusanya Sh bilioni moja
Na Nadhifa Omary, Kilimanjaro
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amewapongeza wapanda Mlima Kilimanjaro… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la THPS, Dkt. Redempta Mbatia akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa afya wa mkoa wa Shinyanga leo Ijumaa Mei 27,2022 Mjini Kahama.Na Kadam… Read More
Mhandisi Kilimo kutoka kituo cha CAMARTEC Godrey Mwinama akionesha baadhi ya zana ambazo zinatengenezwa katika kituo hichoNa Rose Jackson,ArushaKituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia vijijin… Read More
Mkurugenzi wa kampuni ya Imara Teknolojia ya jijini Arusha, Alfred Chengula akielezea mashine ambazo wameweza kuzibuni ikiwemo ya kupukuchua na kupura mazao ya aina Tisa .Na Rose Jackson,Aru… Read More
Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amefanya ziara katika Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam, huku akiahidi kuwa Serikali itawapa… Read More
Zanzibar, 18 Novemba, 2021 – Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuanzisha huduma za kibenki zinazozingatia misingi ya kiis… Read More
Ujumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini ukikagua utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini katika Kijiji cha Igalula wilayani Uyui, Mkoa wa TaboraMwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) Wakili… Read More