Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis akizungumza wakati wa Usiku wa Wadau wa Habari na Vyombo vya Habari Kanda ya Ziwa.
Na Kadama Malunde &nda… Read More
Moja ya klabu za kihistoria kabisa katika soka la Hispania ni RC Celta, timu iliyoko katika mji wa Vigo huko Galicia. Katika msimu wa 2023/24, klabu ya Galician itasherehekea miaka 100 t… Read More
Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Agosti 30,2023 wametembelea Bandari zinazosimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa ajili ya kujionea na kujifunza… Read More
Na Faraja Masinde, Muheza
Jamii imetakiwa kumtazama ndege aina ya bundi kama fursa na kubadili dhana iliyojengeka kuwa ni uchuro anapotua kwenye makazi.
Hayo yamebainishwa juzi wilayani Muh… Read More
Benki ya CRDB imeingia mkataba wa makubaliano na Yanga kutoa kadi kwa wanachama wa klabu Yanga katika kuongeza ufanisi wa usajili na masuluhisho ya kifedha.
Akizungumza wakati hafla kusai… Read More
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt Japhet Simeo akizungumza wakati alipozindua zoezi la wanachama,wapenzi na mashabiki wa timu ya Simba kuchangia damu katika Zahanati ya Kisosora Jijini Tang… Read More
Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB) kwa kushirikiana na Shule ya Sekondari ya Coastal ya jijini Tanga, zimezindua Klabu ya Mkonge kwa wanafunzi wa shule hiyo ambayo imelenga kuwafundisha vij… Read More
Baadhi ya wakimbiaji wa klabu ya Barrick North Mara Runners Club wakifurahi baada ya kumaliza kushiriki kukimbia katika mbio za Lake Victoria Marathon zilizofanyika jijini Mwanza hivi karib… Read More
Mwezeshaji katika Mdahalo wa kupinga Ukatili wa Kijinsia Jackson Malangila kutoka Mtandao wa jinsia Tanzania (TGNP) akizungumza na wanafunzi wa shule ya Msingi na Sekondari Lunguya hawapo… Read More
NA EMMANUEL MBATILO
KLABU ya Yanga imeshindwa kuwa mabingwa licha kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya USM Alger kwenye mchezo wa Fainali kombe la Shirikisho mkondo wa pili mara baada ya m… Read More
NA EMMANUEL MBATILO
KLABU ya Yanga Sc imefanikiwa kutinga fainali Kombe la Shirikisho la Azam mara baada ya kuichapa Singida Big Stars 1-0 kwenye mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Lit… Read More
Na Mwandishi Wetu
Imekuwa ni kawaida kwa Shule ya Sekondari ya High View na ya Msingi High Mount zilizopo Gongo la Mboto Mwisho wa Lami, Ilala jijini Dar es Salaam kuibua na kuendeleza vipaj… Read More
MABINGWA Watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara timu ya Yanga imewatoa kimasomaso watanzania baada ya kutinga hatua ya Nusu Fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya ku… Read More
Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa habari Mkoa wa Shinyanga Patrick Mabula, akisoma taarifa ya klabu kwenye Mkutano huo Maalum.Na Marco Maduhu, SHINYANGAKLABU ya waandishi wa habari… Read More
KLABU ya Simba sc imefanikiwa kuondoka na alama tatu baada ya kuichakaza timu ya Mtibwa Sugar kwa mabao 3-0, katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Manungu mkoani Morogoro.Katika mchezo huo… Read More
NA EMMANUEL MBATILOKLABU ya Simba imefanikiwa kuondoka na alama tatu ugenini baada ya kufanikiwa kuichapa Vipers ya nchini Uganda 1-0, na kufanikiwa kushika nafasi ya tatu kwenye kundi akiwa… Read More
Na Mwandushi Wetu, Mtanzania Digital
UWANJA wa Magogo unaojengwa na Halmashauri ya Mji wa Geita kwa kushirikiana na Kampuni ya Geita Gold Mine Limited, unatarajiwa kukamilika mwezi Mei mwaka… Read More
NA EMMANUEL MBATILOKLABU ya Simba imefanikiwa kuondoka na alama tatu ugenini wakiinyuka Dodoma Jiji 1-0, mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Jamhuri Jijini Dodoma.Katika mechi hiyo tumeshu… Read More
Na Norah Damian, Mtanzania Digital
Wadau mbalimbali wamependekeza viongozi wa dini wahusishwe katika Mpango kazi wa kitaifa juu ya ajenda ya wanawake, amani na usalama.
Ajenda hiyo ya… Read More
****************NA EMMANUEL MBATILOKLABU ya Simba imefanikiwa kuonoka na alama tatu mbele ya timu ya Polisi Tanzania baada ya kuichapa mabao 3-1 kwenye mchezo huo ambao ulichezwa kwenye dimb… Read More
Karim Benzema ameshinda tuzo ya Ballon d'Or kwa mara ya kwanza, baada ya kufurahia mwaka bora wa kikazi akiwa Real Madrid mnamo 2022.Fowadi huyo wa Ufaransa alikuwa katika hali ya kuvu… Read More
Mwenyekiti wa Klabu ya Mazingira Shule ya Sekondari Ngokolo Manispaa ya Shinyanga Mariamu Enock (wakwanza kushoto) akitoa elimu ya unawaji mikono kwa wanafunzi wenzake shuleni hapo.Na Marco… Read More
**********************NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAMKLABU ya Simba imefanikiwa kutinga hatua inayofuata Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kufanikiwa kuichapa Nyasa Big Bullets mabao 2-0 n… Read More
Mkurugenzi mpya wa muungano wa Klabu za Waandishi wa habari Tanzania (UTPC) Bw. Kenneth Simbaya (kulia), kushoto ni Rais wa Utpc Bw. Deogratius Nsokolo na katikati ni Bw. Abubakar Karsan Mku… Read More