Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

SIMBA SC YAONESHA UMWAMBA MTIBWA SUGAR, YAICHAPA 3-0



KLABU ya Simba sc imefanikiwa kuondoka na alama tatu baada ya kuichakaza timu ya Mtibwa Sugar kwa mabao 3-0, katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Manungu mkoani Morogoro.



Katika mchezo huo tumeshuhudia Jean Baleke akifunga mabao hayo yote matatu Hat Trick na kuisaidia timu yake kuondoka na ushindi huo mnono kwenye mechi hiyo.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

SIMBA SC YAONESHA UMWAMBA MTIBWA SUGAR, YAICHAPA 3-0

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×