Mbunge wa Jimbo la Manyoni Mashariki Mheshimiwa Dkt. Pius Chaya ametoa maagizo kwa Mkurugenzi wa Wilaya kupitia mwa mtendaji kata ya Chikuyu kuboresha miundombinu ya barabara ya kuingilia… Read More
Tunaishi kwenye famila ya pamoja na baadhi ya ngugu zake mama wa kiume ambao wao hawakuwa wameoa tayari, ni wajomba wawili na shangazi mmoja dada yake baba naye pia bado hakuwa ameolewa. Mi… Read More
Ukweli ni kwamba hakuna mwanaume yoyote ambaye anapenda sehemu ambayo anachovya pia mwanaume mwingine aje achovye tena kiurahisi tu.
Sisi wanaume siku zote ni walinzi pia walezi wa wake… Read More
Jina langu naitwa Farida mkazi wa mkoa wa Katavi, umri wangu ni miaka 38, nipo kwenye maisha ya ndoa miaka 10 sasa na mume wangu yazidi, tulifunga ndoa ya kimila ambayo ilihudhuriwa na waza… Read More
Na Asha Bani, Mtanzania Digital
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro amesema ikifika Januari mwakani kila mtoto awe amesajiliwa na kupata cheti cha kuzaliwa.
Dk.Ndumbaro aliya… Read More
Mwenyekiti wa bodi ya Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Gemma Akilimali leo Jijini Dar es Salaam akizungumza na wananchi wakati wa Maadhimisho ya siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia ambay… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
MTU anapojitambulisha kuwa anafanya kazi mgodini, watu wengi hudhani kuwa kazi zilizopo ni kuingia chini ya ardhi kutafuta madini pekee. Dhana hiyo imesa… Read More
Na Renatha Kipaka, Muleba
Wazazi na walezi wilayani Muleba mkoani Kagera wameshauriwa kuwaambia ukweli watoto wao ili wajue jinsi hali halisi ya mabadiliko pamoja na utandawazi katika jamii… Read More
Renatha Kipaka, Kagera
Mkoa wa Kagera umeweka mikakati mitano ya kuhakikisha kuwa inakabiliana na udumavu kwa watoto chini ya miaka mitano ambao unafikia asilimia 39.8.
Hayo yamebainishwa n… Read More
Mwenyekiti wa TSC Profesa Willy Komba akiongea na waandishi wa habari Jijini Dodoma (hawapo pichani) kuhusu mwenendo wa maadili ya utumishi wa walimu nchini ***Na Dotto Kwilasa Ma… Read More
Mzee Gideon Kisira CherowoMzee Gideon Kisira Cherowo (73) Mkazi wa Bungoma nchini Kenya amemfungulia kesi katika mahakama Kuu ya Kitale Mtoto wake aitwaye Washington Chepkombe akitaka a… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
“Wakati mwingine tunapata shida tukihitaji wakalimani utakuta mwingine anakutajia bei kubwa, mwingine anakuambia nitakufanyia kirafiki utanipa hela y… Read More
Viongozi wa Asasi ya Inspirational Women Group pamoja na ofisa elimu taaluma sekondari wa manispaa ya Kigoma Ujiji wakitoa msaada wa taulo za kike kwa uongozi na wanafunzi wa Buhanda sekonda… Read More
Baadhi ya wananchi wa shehia ya Bumbwini wilaya ya kaskazini B Unguja waliohudhuria katika mkutano maalumu wa utowaji wa elimu dhidi ya matendo ya udhalilishaji yaliotolewa na TAMWA-Zanzibar… Read More
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.SERIKALI imesema kuwa imejipanga kukarabati miradi yote ya maji iliyotelekezwa kwa kipindi kirefu ili kupunguza adha ya uhaba wa maji kwa wananchi.Hayo yameb… Read More
Na Bakari Chijumba, Lindi.Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi, Hashim Mgandilwa amepiga marufuku wamiliki wa viwanja vya kucheza unyago kutumia Mangariba wasio na vitambulisho vya wajasir… Read More
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588ILIPOISHIA Swali la Jojo likanifanya niyanyanyue macho yangu taratibu hadi kwenye kioo kidogo kilichopo mbele yan… Read More
LAGOS, Nigeria HABARI za kuvunjika kwa Kundi la P Square linaloundwa na mapacha Peter na Paul, si ngeni tena ingawa ziliwashangaza wadau wengi wa muziki barani Afrika.Kwa ubora wa tungo zake… Read More
Nilianza kumsikia Balozi Mwapachu tangu nikiwa mtoto mdogo. Huyu ni miongoni mwa yale majina ambayo miaka nenda miaka rudi utayasikia, kama sio kwenye uwaziri basi ni kwenye ukurgenzi wa taa… Read More