Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Serikali imesema haiwezi kuajiri wahitimu wote wa vyuo vya kati na vyuo vikuu kwenye sekta ya umma bali inachofanya ni kuwahamasisha kutafuta fursa katik… Read More
Baadhi ya wadau na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi wakiwa kwenye kikao cha pamoja kupeana mrejesho na namna Bora ya kukabiliana na matukio ya ukatili wilayani hapo hivi kar… Read More
Moja ya maradhi yanayoshuhudia kampeni kubwa kukabiliana nayo katika miaka ya hivi karibuni duniani ni pamoja na saratani ya tezi dume kutokana na ukubwa wa athari inazosababisha.Ni maradhi… Read More
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amezindua rasmi zoezi la Usajili wa Laini za simu kwa alama za vidole katika mkoa wa Shinyanga ikiwa ni sehemu ya uhamasishaji kwa wananchi wasaj… Read More
Kukabwa kwenye koo la hewa hutokea pale kitu kinapokwenda na kubana koo la hewa kwenye koromelo na kuzuia kupita kwa hewa kuelekea na kutoka kwenye mapafu. Kwa watu wazima mara nyingi vipand… Read More
Ni kawaida watoto wadogo kunyonya kidole kutokana na mahitaji ya kimwili na kisaikolojia. Mtoto huanza kunyonya kidole endapo hapati maziwa ya kutosha. Mara nyingine husababishwa… Read More
MOJA ya masuala yanayotawala anga za habari na mijadala mbalimbali mtandaoni ni uamuzi wa Bodi ya Taasisi ya Changamoto ya Milenia (Millennium Challenge Corporation - MCC) ya Marekani kusiti… Read More