Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama akitoa Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya Nchini kwa mwaka 2023 kwa waandishi wa Habari katika Ukumbi wa H… Read More
Kaimu Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Ufuatiliaji Sheria NEMC, Hamad Taimuru akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 16, 2024 katika Ofisi za NEMC Jijini Dar es Salaam wakati akitoa taarifa… Read More
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Doto Biteko akizungumza wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani yaliyofanyika Jijini Tanga ambapo alimwakilisha Rais Dkt Sam… Read More
Na Seif Takaza, Iramba
MKUU wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego amewapongeza wananchi wa Mkoa wa Singida kwa kushiriki kikamilifu kuadhimisha miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzib… Read More
Na Marco Maduhu,SHINYANGA
KANISA la Waadventista Wasabato ukanda wa dhahabu Nyanza Gold Belt Field (NGBF),wamehitimisha Semina Maalumu ya Mafundisho ya Afya, Biashara, Kaya na Familia i… Read More
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel wakimkabidhi mtungi wa kupikia wa gesi ya Orxy mmoja wa wauguzi katika hospital… Read More
Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Adv Stephen Byabato akizungumza na wananchi .
Na Mariam Kagenda - Kagera
Katika kipindi cha miaka 3 ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Manispaa ya Bukob… Read More
Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital
Kanisa la The Word of Reconciliation Ministries (WRM), linaadhimisha miaka 17 ya huduma tangu kuanzishwa kwake, huku likijivunia ushiriki wake katika kusa… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Kada ya Uuguzi na Ukunga nchini imeiomba Serikali kupitia Wizara ya Afya kuharakisha mapitio ya mapendekezo yake juu ya maboresho pendekezwa ya mgawanyo wa madarak… Read More
Mbunge wa Mkoa wa Mbeya Sophia mwakagenda kwa kushirikiana na wanawake wachimbaji wadogo wa madini wametoa msaada wa vitu mbalimbali vikiwamo 'diaper', sukari, sabuni na juice kwa akinam… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Machi 8, kila mwaka Wanawake kote duniani huungana kuadhimisha SIKU YA WANAWAKE DUNIANI ambapo Kaulimbiu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake 2024 inasema;… Read More
Na Mwandishi Wetu,Tanga
UBALOZI wa Uswisi kupitia ufadhili walioufanya kwa taasisi isiyo ya kierikali ya AMEND kwa ajili ya kutoa elimu ya usalama barabarani ikiwemo elimu ya huduma ya… Read More
Na. Abel Paul, Jeshi la Polisi- Arusha
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimimiwa Jumanne Sagini amefika Jijini Arusha na kukagua eneo la ajali lilotokea Febr… Read More
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe amefanya ziara mkoani Shinyanga ambapo ametembelea Kituo cha Afya Kambarage kujionea namna huduma za afya zinavyotolewa, pia amekagua hud… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeweka rekodi ya kihistoria kwa kufanya upasuaji wa kutengeneza jinsia ya kike kwa kijana aliyedhaniwa kuwa wa kiume.
Ki… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limeiomba Serikali kuangalia upya likizo ya uzazi kwa wanaojifungua watoto njiti ili wapate muda zaidi… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Madaktari bingwa wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke wanatarajiwa kuweka kambi ya siku tano katika Kituo cha Afya Buza ili kutoa huduma za uchunguzi wa… Read More
Watu watatu wa Familia moja Mtaa wa Lukuyu Kata ya Bigwa Manispaa ya Morogoro wamefariki kwa kusombwa na maji wakati wakijaribu kujiokoa baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi pembezoni mwa… Read More
Na Mwandishi Wetu, Kondoa
Halmashauri ya wilaya ya kondoa, mkoani Dodoma, kwa mwaka wa fedha 2023/2024, imeandaa bajeti yenye mtazamo wa Kijinsia kwa kujenga miundombinu ya vyoo vya shule… Read More
Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amesema hadi sasa urejeshaji wa miundombinu ya barabara na makalvati iliyokuwa imeharibiwa na maporomoko ya matope na mawe yaliyotokea Disemb… Read More
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
TAASISI ya Mama Ongea na Mwanao ikiongozwa na Mwenyekiti wake Steve Mengele maarufu Steve Nyerere imewatembelea na kuwapa pole waathirika wa mafuriko ya mato… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekabidhi Tanki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa lita 10,000 katika Hospitali ya Wilaya ya Dkt. Jakaya Mrisho Ki… Read More
Na Dotto Kwilasa,Dodoma
Ikiwa ni Siku ya kilele cha Wiki ya mlipa Kodi,Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)Mkoa wa Dodoma imeadhimisha siku hiyo kwa kurudisha shukrani kwa jamii ambapo i… Read More
Na Mwandishi wetu,Manyara.
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel akiongozana na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu, Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu pamoja na wataalam k… Read More
Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT)-Kampasi ya Mwanza, imeadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kwa kutoa semina elekezi kwa wanafunzi.
Semina hiyo imelenga kuwajengea… Read More
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya Dkt Wilson Mahera akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea na k… Read More
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora, George Simbachawene.
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Salum Rashid Hamduni.
Na Dotto Kwilasa,Dodoma
WAZIRI wa… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha Shilingi Bilioni 3.4 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya barabara, elimu, miradi ya maendeleo, afya n… Read More
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Godfrey Chongolo ameonekana kutoridhishwa na hatua ya Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya katika Halmashauri ya Sumbawanga Vijijini, ambap… Read More
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel leo tarehe 19/10/2023 amewasili Mkoani Tanga na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Waziri Kindamba kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku moj… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Kuelekea Maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwa Mtandao wa Jinsia nchini TGNP Wadau wa Jinsia na Maendeleo GDSS wameendelea kujivunia jukwaa lao a… Read More
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Godfrey Chongolo ameeleza hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Serikali, kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 – 2025, kw… Read More
Makamu wa Rais wa pili Zanzibar, Hemed Suleiman (kushoto) akimkabidhi tuzo Mkurugenzi mtendaji wa GGML, Terry Strong baada ya kampuni hiyo kuibuka mshindi wa jumla katika maonesho ya tekno… Read More
Meneja Mwandamizi wa GGML anayeshughulikia mahusiano ya jamii, Gilbert Mworia akimpatia zawadi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman alipotembelea banda la kampuni hiyo kati… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Geita, Kanali Boniphace Maghembe (wa pili kushoto) akipokea nyaraka za vifaa mbalimbali vya tiba kutoka kwa Ofisa Mwandamizi Mahusiano ya Jamii kutoka GGML, Musa Shunash… Read More
Licha ya matangazo mengi katika vyombo vya habari kuwa Kifua Kikuu (TB) ni ugonjwa unaotibika kwa urahisi na watu wasione aibu kwenda Hospitalini, kwani hali hiyo kwangu ilikuwa ni tofau… Read More
Na Oscar Assenga, TANGA.WANAFUNZI, walimu pamoja na waumini wa dini ya Kiislamu zaidi ya 130 kutoka Taasisi ya Bilal Muslim Mission of Tanzania Tawi la Tanga wametumia maadhi… Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi akiongoza Matembezi na mbio fupi za Uzazi Ni Maisha Wogging 2023 yalioanzia viwanja vya Butros Kiembe Samaki n… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Juhudi za kukabiliana na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yanayotokana na wanaume kufanyiwa tohara za kimila katika Wilaya ya Serengeti Mkoani Mar… Read More
Kutokana na mtindo wa maisha kubadilika sana ulimwenguni kutokana na ukuaji wa teknolojia, watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na tatizo la kuvimba kwa miguu.
Mimi ni miongoni mwa watu wa… Read More