Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), imetoa elimu ya kilimo cha zao la Mkonge, masoko na fursa zitokanazo na zao hilo kwa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA), katika Semina ya kuhitim… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Stadi za Ufundishaji kwa Walimu wa Elimu ya Awali na Msingi iliyofanyika jijini Dar e… Read More
Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB) kwa kushirikiana na Shule ya Sekondari ya Coastal ya jijini Tanga, zimezindua Klabu ya Mkonge kwa wanafunzi wa shule hiyo ambayo imelenga kuwafundisha vij… Read More
MAFUNDISHO MAALUMU KWA WANANDOA: Epusha Wivu katika ndoa: Sehemu ya kwanza: Upande wa Mwanamke. Huu ni mfululizo wa mafundisho maalumu yawahusuyo wanandoa: Ikiwa hukupata sehemu za nyuma, ba… Read More
MKRISTO KUWA NABII WA UONGO.MHUBIRI: VENIUS G MLANGU.Yeremia 7:1-2,4-16[1]Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema, The word that came to Jeremiah from the LORD, say… Read More
Danieli 3:1-20[1]Nebukadreza, mfalme, alifanya sanamu ya dhahabu, ambayo urefu wake ulikuwa ni dhiraa sitini, na upana wake dhiraa sita; akaisimamisha katika uwanda wa Dura, katika wilaya ya… Read More
Nehemia 2:17-20[17]Kisha nikawaambia, Mnaona hali hii dhaifu tuliyo nayo, jinsi Yerusalemu ulivyo hali ya ukiwa, na malango yake yalivyoteketezwa kwa moto; haya! Na tuujenge tena ukuta wa Ye… Read More
Ufunuo wa Yohana 3:14-22[14]Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu.[15]N… Read More
NAIBU Waziri wa Habari,Sanaa na Michezo Mh Pauline Gekul akitoa hotuba ya kufunga Mashindano ya Umitashumta 2021KIKUNDI cha Sanaa cha Mkoa wa Tanga kikitumbuiza kwenye Sherehe za ufungaji wa… Read More
Na Clara Matimo, Mwanza
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) Mkoa wa Mwanza, linatarajia kusherekea sikukuu ya Idd El Hajji Julai 21 mwaka huu kwa kuwafundisha waumini wa d… Read More
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Little Treasures na Shule ya Sekondari Little Treasures wakiwasili katika ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Shinyanga leo kwa ajili ya kutoa salamu za rambirambi na kusai… Read More
Mgodi wa Dhahabu wa Barrick Bulyanhulu unaomilikiwa na Kampuni ya Twiga Minerals Corporation hapa nchini, umekabidhi zawadi zenye thamani ya shilingi milioni Tisa na elfu Hamsini kwa Wanafun… Read More
SAMWEL MWANGA,MASWA.
MTOTO wa miaka mitano, Masunga Milekwa mkazi wa Kijiji cha Mlimani Kata ya Mbaragane wilayani Maswa mkoani Simiyu, amefariki dunia baada ya kuchukuliwa na m… Read More
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania(THTU) Dkt.Paul Loisulie (kushoto) akizungumza wakati akitoa taarifa yake kwa wanachama wake, wadau na umma wa watanzan… Read More
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inatambua umuhimu wa kuwa na lugha moja ya alama ili kuwezesha mawasiliano ya watumiaji wa lugha hiyo, hivyo itaendelea kusimamia uendelezaji, us… Read More
Kurudisha nguvu za kiume Tuesday, February 14, 2017 Afya Kurudisha nguvu za kiume Makala hii ni maalumu kwa ajili ya wanandoa tu na si vinginevyo au kama elimu kwa wanandoa watarajiwa. Muog… Read More
PART 1: JINSI YA KUNUNUA DOMAIN NA KUIWEKA KWENYE BLOG YAKO | FROM .BLOGSPOT TO .COMSlaus Technologies Tz1 / 5 days agoHabari za wakati huu msomaji wa Blog yako pendwa ya Slau… Read More