Afisa wa polisi wa Eldoret amejisalimisha kwa mamlaka baada ya kudaiwa kumpiga mumewe risasi 12 mara kumi na mbili kufuatia mabishano makali baada ya zamu yake.
Afisa huyo wa polisi wa ut… Read More
Mwanamke mmoja raia wa Congo ambaye ameolewa na waume wawili, amewaduwaza wengi ikizingatiwa kwamba ndoa ya waume wengi ni nadra barani Afrika.
Francine Jisele anaishi na waume wawili, mum… Read More
Na mwandishi Maswayetu blog;
Baada ya Serikali ya Jamhuri ya MUUNGANO kuhakikisha
kwamba nafasi za kazi zote Tanzania zinatolewa kwa usawa na uwazi kwa vijana
wote wanaopambana kutafuta k… Read More
Hakuna kitu kinauma kama mke wako ambaye unamtunza kwa kumgharamikia kila kitu ili aweze kuishi vizuri na kupendeza unasikia anatembea na mwanaume mwingine nje ya ndoa.
Jambo hilo limewah… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati akivuta kitambaa kuzindua Maabara ya TEHAMA katika Skuli ya Sekondari ya Kizimkaz… Read More
******************
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) imewakutanisha Waandishi wa habari na viongozi wa Vituo vya Taarifa na Maarifa kwaajili ya kujadi… Read More
Afisa Uhusiano kutoka GGML, Ruth Mharagi akitoa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya sekondari wasichana Nyankumbu, namna ya kutumia pedi pindi wawapo kwenye hedhi.
Na Mwandishi Wetu
Hedhi ni… Read More
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga, Fue Mrindoko na viongozi wa Jumuiya ya Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini na kamati ya utekelezaji wakitembelea na kukagua ujenz… Read More
MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu Mei 5,2023, amefanya ziara katika Vijijiji vya Choda na Mkiwa vilivyopo jimboni humo kwa lengo la kukagua miradi ya maendeleo,kuzungumza na kusik… Read More
Mwanaume anayesemekana kuwa na umri wa miaka 20, amefariki dunia baada ya kuanguka kutoka kwa mwamba wa Kit Mikayi eneo la Seme,kaunti ya Kisumu Kenya.Mwanamume alifariki baada ya kuanguka k… Read More
Polisi katika kaunti ya Busia nchini Kenya wanatafuta bunduki iliyoibwa kutoka kwa kamanda wa polisi usiku wa Jumamosi, Februari 18,2023.Kwa mujibu wa ripoti ya polisi, wezi walivunja nyumba… Read More
Hapa duniani kuna mambo yanaweza kukutokea hadi wewe mwenyewe ukawa unashangaa maana yake ni ipi hasa, ndicho nilichonikuta mimi pale ambapo mama mwenye nyumba aliponiita nyumbani na kuniamb… Read More
Mfano wa taulo za kikeNa Kadama Malunde - Malunde 1 blogWatoto wa kike wanaotokea kwenye familia duni mara nyingi hukosa kuhudhuria masomo wanapokuwa katika siku za hedhi kutokana na kukosa… Read More
Abdel Raphael (42) Mkazi wa Mtaa wa Uwanja halmashauri ya mji Geita amekutwa amefariki ndani kwake akiwa kwenye mfungo wa siku 30 akitarajia kufufuka Desemba 8Mmoja wa waumini waliokuwa waki… Read More
Na Dotto Kwilasa,DODOMA.CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimesimamisha uchaguzi katika mikoa mitatu kwa nafasi zilizoonyesha kuwa na changamoto pamoja na kufuta uchaguzi wa Umoja wa Vijana wa… Read More
Marubani mawili wa shirika la ndege la Air-France wamesimamishwa kazi baada ya kupigana katika chumba cha marubani ndege ikiwa hewani.Wawili hao walilimana makonde wakipaisha ndege aina ya A… Read More
MKUTANO WA STATION YA KASULU MJINI.ULINZI WA MUNGU KWA WATU WAKE.MHUBIRI: AMINELY BUROMELA.2 Wafalme 6:8-23[8]Basi, mfalme wa Shamu alikuwa akifanya vita na Israeli. Akafanya mashauri na wat… Read More
Jengo la Mahakama ya wilaya ya Lindi**Mahakama ya wilaya ya Lindi, imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Navanga, Halmashauri ya Mtama kutumikia kifungo cha miaka 20 gerezani, baada ya kukutwa na h… Read More
Mabaki ya gari ya jeshi iliyosababisha vifo vya wanajeshi wawili na wengine wanne kujeruhiwa baada ya kupinduka katika eneo la Kidahwe halmashauri ya wilaya Kigoma.(Picha na Fadhili Abdallah… Read More
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Taifa Shaka Hamdu Shaka akifungua bomba la maji ndani ya moja ya chumba cha Maabara shule ya Sekondari ya Ayalagaya iliyopo mkoan… Read More
Na Renatha Kipaka, Muleba
Wazazi na walezi wilayani Muleba mkoani Kagera wameshauriwa kuwaambia ukweli watoto wao ili wajue jinsi hali halisi ya mabadiliko pamoja na utandawazi katika jamii… Read More
Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt.Jim Yonazi akifunga mafunzo ya siku tano yanayohusu usalama mtandaoni kwa wapelelezi na askari wa chumba cha mashtaka J… Read More