Maswayetu Blog · 22:53 13 Oct 2023
Jumamosi Blog Posts
Maswayetu Blog · 08:54 16 Oct 2023
Afisa wa polisi wa Eldoret amejisalimisha kwa mamlaka baada ya kudaiwa kumpiga mumewe risasi 12 mara kumi na mbili kufuatia mabishano makali baada ya zamu yake.
Afisa huyo wa polisi wa ut… Read More
Maswayetu Blog · 11:54 09 Oct 2023
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM) Ndugu Daniel Godfrey Chongolo ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi wakati wa ziara yake ya kuimarish… Read More
Maswayetu Blog · 03:53 23 Sep 2023
Magazetini leo Read More
Maswayetu Blog · 13:51 30 Sep 2023
Meneja Mwandamizi wa GGML anayeshughulikia mahusiano ya jamii, Gilbert Mworia akimpatia zawadi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman alipotembelea banda la kampuni hiyo kati… Read More
Maswayetu Blog · 03:52 16 Sep 2023
Maswayetu Blog · 16:53 23 Sep 2023
Na Mwandishi wetu Malunde Blog Shinyanga
Dkt.Agatha Mgogo ambaye ni Mkurugenzi chuo kikuu huria cha Tanzania mkoa wa Shinyanga ameongoza Mahafali ya Tatu ya darasa la saba 2023 katika Sh… Read More
Maswayetu Blog · 22:52 01 Sep 2023
Maswayetu Blog · 22:52 25 Aug 2023
News - News Africa N… · 18:49 17 Aug 2023
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
WAISLAM nchini wamempongeza Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda kwa kukubali kusikiliza maoni yao juu ya mtaala wa masomo ya kiislam… Read More
Maswayetu Blog · 03:51 22 Jul 2023
Maswayetu Blog · 14:52 05 Aug 2023
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amewataka akina mama kuhakikisha wanawanyonyesha watoto wao mara kwa mara kadri wanavyotaka hu… Read More
Maswayetu Blog · 10:52 29 Jul 2023
Mmoja wa wakimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa akishuka kwenye tangi la Maji lililopo Ishinabulandi kata ya Samuye katika Mradi wa Maji Masengwa awamu ya pili kata ya Masengwa Halmashauri ya… Read More
Maswayetu Blog · 04:52 01 Jul 2023
Maswayetu Blog · 13:52 01 Jul 2023
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi amelitaka Jeshi la Jadi Sungusungu kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi badala… Read More
Maswayetu Blog · 21:51 26 May 2023
Maswayetu Blog · 10:51 17 Jun 2023
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Makamu wa Askofu Mkuu wa Kanisa la African Inland Church Tanzania (AICT) Dayosisi ya Shinyanga Zachayo Enock Bugota ameweka Jiwe la Msingi katika Nyumba ya… Read More
Maswayetu Blog · 12:51 01 Jun 2023
Watu 15 wa familia moja wameaga dunia nchini Namibia baada ya kunywa uji ulioharibika.
Hili ni miongoni mwa matukio mabaya zaidi nchini humo ya maafa yanayotokana na chakula kibovu.
Vyom… Read More
Maswayetu Blog · 08:51 28 May 2023
Hapo Januari mwaka huu, kuna familia ilihamia karibu na mahali nilipokuwa naishi, ghafla nikagundua mke wa jirani yangu yule ni mrembo sana, mtoto ni kisu kweli kweli, unaweza kutokwa na ud… Read More
Maswayetu Blog · 12:52 20 May 2023
Jumuiya ya wazazi CCM Shinyanga Mjini yabaini madudu ujenzi wa madarasa na vyoo shule ya msingi Msufini Ndala Shinyanga pic.twitter.com/pjyBOUI0IV
— Malunde 1 Blog (@malundekadama) M… Read More
Maswayetu Blog · 13:53 30 Apr 2023
Picha haihusiani na habari hapa chini
Na Mwandishi wetu - Tinde
Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Mwanandakuna anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 58-60 mkazi wa kitongoji cha Ngaka… Read More
Maswayetu Blog · 09:52 22 Apr 2023
Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Habib Makusanya akitoa Ujumbe wa Sikukuu ya Eid El Fitr baada ya Ibada ya Eid El Fitri katika uwanja wa Saba Saba Mjini Shinyanga
Na Kadama… Read More
Maswayetu Blog · 21:51 15 Apr 2023
Meneja Biashara wa Benki ya CRDB tawi la Shinyanga, Mwanahamisi Iddi akizungumza wakati wa Bonanza la Michezo lililoongozwa na Kampeni ya Kataa Uhalifu Toa Taarifa Shinyanga Bila Uhalifu I… Read More
Maswayetu Blog · 12:51 25 Mar 2023
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati wa Kongamano la Miaka Miwili ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.Kongamano la Miaka Mi… Read More
Maswayetu Blog · 05:51 18 Mar 2023
Meridianbet mabingwa wa kumwaga odds kubwa wikiendi hii, Ligi mbalimbali zinaendelea n EPL, Bundasliga, Ligue 1 na Serie A unaambiwaje kitaeleweka weka dau kubwa ushinde mkwanja mrefu… Read More