Na Marco Maduhu,SHINYANGA
BENKI ya CRDB Tawi la Shinyanga imeadhimisha wiki ya huduma kwa wateja, huku akiahidi kuendelea kutoa huduma bora zaidi.
Maadhimisho yao yamefanyika leo O… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Benki ya NMB imeendesha Warsha ya Siku ya Walimu Katika Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga kwa ajili ya kutambua mahusiano mazuri yaliyopo kati ya… Read More
Gavana wa Benki kuu ya Tanzania Bw. Emmanuel Tutuba (katikati) akiwa pamoja na Mkurugenzi wa huduma kwa mlipa kodi (TRA) Bw. Richard Kayombo (kulia) wakiangalia jinsi ya kuskani kinyw… Read More
Ziara ya Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile ya kutembelea Uongozi wa Shirika la Reli Tanzania(TRC) Kwa ajili ya kujitambulisha, kujifunza na kujionea miradi inayoendelea chini… Read More
Waziri Dotto Bitteko wa Wizara ya Madini akizungumza jambo kwenye mkutano wa Wizara hiyo (Breakfast Mining Briefing) na Chama Cha wachimbaji wa Madini na Wadau mbalimbali wa sekta hiyo na ku… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula (wa tatu kushoto) akifuatilia maelezo ya Mkuu wa wilaya ya Biharamulo Advera Bulimba wakati alipokwenda kutatua mgogoro wa… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Thomas Mayenga ametoa msaada wa Majiko ya Gesi 250 kwa Mama Lishe Wilaya ya Kahama ili kuwarah… Read More
Kinshasa DRC 2 Mei 2023 – Benki Kuu ya Congo (BCC) imeipatia leseni ya kufungua kampuni tanzu nchini humo Benki ya CRDB. Leseni hiyo imekabidhiwa leo katika mkutano maalum kati ya BC… Read More
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi (Mb) akijibu swali Bungeni leo tarehe 16 Mei, 2023, jijini Dodoma.
Na Mwandishi Wetu, DOD… Read More
Na Mwandishi wetu - Malunde 1 blog
Benki ya CRDB imefunguaTawi la Benki ya CRDB Kaliua Mkoani Tabora huku ikiwataka wananchi kuchangamkia fursa za maendeleo zinazotolewa na Benki hiyo.
A… Read More
Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni Mama ya Benki ya CRDB, Dkt. Ally Laay (watatu kulia) akikabidhi tuzo maalumu ya shukrani ya maadhimisho ya miaka 10 ya kampuni tanzu ya Benki ya CRDB Burundi kw… Read More
Mwanaume mmoja kutoka Oregon amesababisha msongamano wa magari kwa kurusha rundo la pesa kwenye barabara kuu yenye shughuli nyingi.
Tukio hilo lilitokea kwenye barabara kuu ya I-5 m… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
SERIKALI imepongeza maendeleo ya ujenzi wa Kituo cha Umahiri wa Bidhaa za Ngozi na Teknolojia zinazoshabihiana (CELPAT) katika Taasisi ya Teknolojia Dar… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) akifanya mazungumzo na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Visa International, Alfred Kelly kuhusu ushirikiano baina ya ta… Read More
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dk. Yahaya Nawanda akiongoza kikao cha RCC.Na Marco Maduhu, SHINYANGAKAIMU Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dk. Yahaya Nawanda, ameongoza kikao cha kamati ya ushauri… Read More
Naibu Katibu Mkuu wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Ndg. Ally Gugu (Uwekezaji) akifungua Warsha ya kujadili fursa zilizopo katika soko la Biashara la Nchi za Africa katika ukumbi wa Hotel ya… Read More
Mtaalamu wa maji kutoka Benki ya Dunia Rwegoshora Makaka akizungumzaNa Suzy Luhende, ShinyangaWananchi wa kata ya Ukenyenge wilayani Kishapu wameishukuru Benki ya Dunia kwa kushirikiana na W… Read More
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza kwenye Mkutano wa Watoa Huduma za Mawasiliano Kanda ya Ziwa leo Jumatano Desemba 7,2022.&nb… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Bw. Theobald Sabi (Kulia) akisalimiana na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Mohamed Mchengerwa wakati hafla ya jioni iliyolenga kuwapongeza na k… Read More
Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Pwani, Mwalimu Douglas MhiniKatibu wa CWT Wilaya ya Bagamoyo, Mwalimu Shaaban TessuaNA ELISANTE KINDULU,BAGAMOYOCHAMA Cha walimu Tanzania (CWT) mkoa Pwani kimeiomba… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Dkt Angeline Mabula akizungumza katika Jubilee ya miaka 25 ya Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni Kibiti na sherehe za… Read More
Vijana wa Japani hawanywi pombe ya kutosha - jambo ambalo mamlaka zinatarajia kubadilisha kupitia kampeni mpya.Vijana wa kizazi kipya hunywa kiasi kidogo cha pombe kuliko wazazi wao - hatua… Read More
Zanzibar, 18 Novemba, 2021 – Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuanzisha huduma za kibenki zinazozingatia misingi ya kiis… Read More
Na Benny Mwaipaja, BujumburaMawaziri wa Fedha na Uchumi na Magavana wa Benki Kuu kutoka nchi 54 barani Afrika ikiwemo Tanzania, wamekutana mjini Bujumbura nchini Burundi katika Mkutano… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu ameiomba Mahakama iamuru Gazeti la The Citizen kumlipa fidia ya Sh bilioni tatu na k… Read More
Na Ashura Jumapili, Bukoba.Baadhi ya wajasiriamali Mkoani Kagera wameziomba taasisi za kifedha zinazotoa mikopo kwa Wafanyabiashara kupunguza riba za mikopo sanjari na kupunguza masharti kam… Read More
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji amiepongeza Benki ya CRDB kwa kuchukua hatua ya kuifufua Benki ya Ushirika Kilimanjaro (KCBL) na hivyo kutoa tumaini jipya kwa vyam… Read More