Licha ya matangazo mengi katika vyombo vya habari kuwa Kifua Kikuu (TB) ni ugonjwa unaotibika kwa urahisi na watu wasione aibu kwenda Hospitalini, kwani hali hiyo kwangu ilikuwa ni tofau… Read More
Ndoa yeyote bila ya kuwa na mapenzi ya kweli hukumbwa na misukusuko ya kila aina wakati wowote ule, ni jukumu la kila muhusika katika ndoa kuhakikisha kwamba mapenzi yanazidi kudumu.
Tul… Read More
Tunaona kuna baadhi ya watu ambao majina yao yameongezwa vionjo kwa mbele, kwa mfano Simoni Petro, Yuda Iskariote, Tomaso pacha, Simoni mkananayo, Yohana Mbatizaji n.k Watu hawa ambao majina… Read More
Domo zege , mkono wa sabuni na kila aina ya majina walinipa wote walionijuwa sikuwa kabisa mwenye tabia za kusimama , kuongea wala kuongozana na mwanamke yoyote yule tofauti na ndugu zangu… Read More
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Pauline Gekul akifuatilia kwa makini taarifa inayotolewa na Kamishna Msaidizi wa Magereza ACP Nkonge Edwin alipofika gerezani hapo na timu ya wataalam… Read More
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TVRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya kununua kila goli kwa Tsh. Milioni 5/- wakati timu za Simba na Yanga zikicheza… Read More
Afisa Uhusiano Tanesco Mkoa Dodoma Sarah Libogoma ,akizungumza na wananchi wa Kata ya Nala Mtaa wa Seguchini Mkoani Dodoma wakati wa kampeni ya uelimishaji juu ya huduma za TANESCO zilizofik… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda.Na Mathias Canal, WEST-Dodoma.Serikali imeandaa mkutano maalumu kwa mara nyingine wa wadau wa elimu kutoka maeneo na sekta mbal… Read More
Kamanda wa polisi mkoa wa Kagera, William Mwampaghale**Watu nane wakiwamo watano wa familia moja ambao ni mama na watoto wake wanne, wamefariki dunia baada ya magari mawili kugongana uso kwa… Read More
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Philip Mangula amewaonya wagombea wa viti vya udiwani na ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kuwa wale ambao wataanza kamp… Read More
Majina kamili naitwa Maish kutoka Mtopanga Tanzania nilikozaliwa yapata miaka ishirini na minane iliyopita. Nina Stori flani.Mwaka jana nilikutana na mrembo flani na nikampenda kisha t… Read More
WAZIRI wa Viwanda na Biashara Prof.Kitila Mkumbo,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Januari 4,2022 jijini Dodoma wakati akitoa taarifa ya kuongeza muda wa kuwasilisha ta… Read More
Kwa majina naitwa Ibra ama Ibrahim nimekuwa nikitafuta mpenzi kwa muda mrefu lakini nashukuru hatimaye nimefaulu kupata sukari ya roho yangu. Tangu niwe chuo kikuu nimekuwa nikipata wasichan… Read More
Na. Hassan Mabuye, PwaniWAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi aamuru kutiwa mbaroni matapeli watano maarufu wa kuuza na kunyanganya ardhi za watu Wilayani Bagamoy… Read More
Kwa majina naitwa Aisha Hamisi,nina umri wa miaka 24.Ninafanya biashara ndogo ndogo katika mkoa wa Dar es salaam mtaa wa Kariakoo.Biashara yangu ni kuuza nguo za kike na kiume hapa Kar… Read More
Na Eleuteri Mangi-WHUSM, Dar es SalaamMashindano ya Bongo Star Search yamehitimishwa usiku wa kuamkia Januari 30, 2021 jijini Dar es Salaam ambapo Msanii wa muziki wa Kizazi kipya Yusu… Read More
Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika kikao chake cha tarehe 12 Oktoba, 2020 imefanya maamuzi ya kisera ya kuruhusu vitambulisho mbadala kutumika kupigia kura.Uamuzi huo umezingatia matakwa ya Ki… Read More