Tunaona kuna baadhi ya watu Ambao Majina Yao yameongezwa vionjo kwa mbele, kwa mfano Simoni Petro, Yuda Iskariote, Tomaso pacha, Simoni mkananayo, Yohana Mbatizaji n.k Watu hawa ambao majina yao yanaonekana kuongezewa vionjo mbele yake ni kwa lengo la kuwatofautisha na watu wengine wenye majina kama ya kwao. Na vionjo hivyo vilivyokuwa vinawekwa ni aidha Read More
The post Nyongeza ya majina ya Watu Katika Biblia appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.