Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Brazil Yaichapa Uruguay Ugenini

Mfungaji wa mabao matatu ya Brazil Paulinho
Timu ya taifa ya Brazil wameibuka na ushindi ugenini kwa kuichapa Uruguay kwa mabao 4-1. katika mchezo ya kuwania kufuzu kwa kombe la dunia la mwaka 2018.
kiungo Paulinho akifunga hatrick na Neymer akifunga bao moja, huku bao pekee la Uruguay likifungwa na mshambuliaji Edson Cavan kwa mkwaju wa penati.
Katika michezo Colombia waliibuka na ushinda kwa bao 1 - 0 dhidi ya Bolivia goli la Colombi, likiwekwa kambani na mshambuliaji mahiri wa timu hiyo James Rodrigues.
Argentina wakapata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Chile. Bao pekee la Argentina likifungwa na Lionel Messi kwa mkwaju wa penati.
Paraguay wakawachapa Ecuador 2-1. Nao Venezuela wakatoshana nguvu na Peru kwa sare ya 2 - 2.



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Brazil Yaichapa Uruguay Ugenini

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×