Na Mwandishi wetu _ Malunde 1 blog
Timu ya JKT Tanzania wametoka thuruhu ya goli 1 - 1 dhidi ya Kagera Sugar kwenye nmchezo wa ligi kuu NBC Tanzania Bara.
Mchezo huo uliochezwa… Read More
Na Bakari Madjeshi, Michuzi TV
GOLIKIPA wa Simba SC, Ally Salim Khatoro ameibuka shujaa (The hero) baada ya kudaka penalti tatu kwenye mchezo wa Fainali ya mashindano ya Ngao ya Jamii… Read More
NA EMMANUEL MBATILO
KLABU ya Yanga imeshindwa kuwa mabingwa licha kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya USM Alger kwenye mchezo wa Fainali kombe la Shirikisho mkondo wa pili mara baada ya m… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAMKLABU ya Simba imeshindwa kupata pointi kwenye mechi yake ya pili hatua ya makundi katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika ambapo imepokea kichapo cha mabao… Read More
NA EMMANUEL MBATILOKLABU ya Simba imefanikiwa kuinyuka timu ya Primeiro de Agosto Fc kwa mabao 3-1 mchezo ambao ulipigwa kwenye nchini Angola hivyo nakuwa na faida kwa Simba ambaye atasubiri… Read More
Na Alex SonnaSIMBA na RSB Berkane zimetinga kibabe hatua ya Robo Fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kupata ushindi katika mechi zao za mwisho Kundi D.Simba aki… Read More
Kocha Msaidizi wa Taifa Stars, Suleman Matola akitoa maelekezo kwa wachezaji wakati wa mchezo huoNa Damian MasyeneneTimu ya Taifa ya soka ya Tanzania, Taifa Stars leo imeanza vibaya michuano… Read More
Beki wa kulia wa Azam Fc Nicolas Wadada akijaribu kumtoroka kiungo mkabaji Raia wa Mali, Sadio Kanoute aliyefunga bao la kwanza katika mchezo wa Ligi kuu ya NBC Simba imeibuka na ushindi wa… Read More
Timu ya Taifa ya Wasichana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17 ‘Tanzanite Queens’ imefanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya COSAFA kwa upande wa Wanawake baada ya kupata ushind… Read More
Klabu ya simba, leo Agosti 30 imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Namungo FC na kufanikiwa kutwaa taji la Ngao ya Jamii kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha.Mab… Read More
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa muda wa timu ya Arsenal, Freddie Ljungberg, amesisitiza kuwa bado timu hiyo ina nafasi ya kuingia kwenye nafasi nne za juu bila ya kujali sare ya mabao 2-2 dhidi ya… Read More
Mwandishi Wetu, Mwanza
TIMU ya Yanga jana iliendeleza wimbi la ushindi, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1dhidi ya Alliance, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, uliochezwa… Read More
Shirika lisilo la kiserikali AGAPE AIDS CONTROL PROGRAM la Mkoani Shinyanga linalojishughulisha na masuala ya jamii, limetoa elimu ya afya ya uzazi na ujinsia kwa njia ya bonanza la michezo… Read More
Goli la Penati lilofungwa na Cristiano Ronaldo katika dakika za majeruhi limeiingiza Real Madrid katika nusu fainali za Ligi ya Mabingwa Ulaya.Penati hiyo ilikuja baada ya Medhi Benatia kati… Read More
Nani ataizima kasi ya Manchester City? Hili ndilo swali kubwa sasa baada ya vinara hao wa Ligi Kuu ya England kuwatungua Arsenal 3-1 kwenye uwanja wa Etihad.City ilitawala sehemu kubwa ya mc… Read More
Magoli manne yametosha kuipeleka Arsenal nusu fainali ya FA itakayochezewa katika uwanja wa Wembley. Ikiwa inacheza na Everton mchezo ulionekana kuwa mgumu kwa Arsenal katika kipindi cha kwa… Read More