Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Lawrence Masha Ajitoa katika mbio za kugombea urais wa TLS

Wakati kesho kukitarajiwa kufanyika uchaguzi wa Rais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika, leo wanasheria hao wamekuatana Arusha kwenye mkutano mkuu wa chama cha wanasheria hao.
Katika mkutano huo, aliyekuwa mgombea wa Urais wa TLS, Mwanasheria Lawrance Masha ametangaza kujiondoa kuwania Urais huo na  amesema anamuunga mkono Tundu Lissu na kura zake apigiwe Tundu Lissu.



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Lawrence Masha Ajitoa katika mbio za kugombea urais wa TLS

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×