Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Watumishi 11 wasimamishwa kazi kwa kuwa na vyeti feki vya form 4

Watumishi 11 Wasimamishwa Kazi Kwa Kuwa Na Vyeti Feki Vya Form 4
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 Watumishi 11 Mkoani wa idara ya afya mkoani Mbeya wamesimamishwa Kazi baada ya kukutwa na kosa la kughushi Vyeti vya kidato cha nne hilo limefanyika baada ya zoezi la kuhakikisha vyeti kwa kushirikiana na baraza la mitihani NECTA ikiwa ni mwitikio wa agizo alilotoa rais John Magufuli
Amesema waliwakilisha vyeti vingi NECTA na hivyo 11 ndio vikabainika vilikuwa vya kughushi ambao karibia wote ni wanawake




This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Watumishi 11 wasimamishwa kazi kwa kuwa na vyeti feki vya form 4

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×