Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Katibu wa Mbunge Godbless Lema, Gabriel Kivuyo ajivua uanachama na kujiunga na CCM



Katibu mwenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia alikuwa Meneja Kampeni wa Mbunge wa Ausha Mjini Mh.Godbless Lema, Gabrieli Kivuyo leo amekihama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kile alichodai ni utovu wa nidhamu ndani ya CHADEMA.

Aidha, amedai kuwa viongozi wake ikiwemo Mbunge kuwadharau pamoja na kitendo cha kutolewa nje kwenye kikao cha Mameya kwa tuhuma za kuwarekodi.

Akizungumza wakati akipokelewa na Katibu wa CCM-wilaya, Musa Matotoka, amesema hata akipata matatizo na kumtafuta Mbunge amekuwa hapatiwi ushirikiano.


This post first appeared on Maisha Yetu, please read the originial post: here

Share the post

Katibu wa Mbunge Godbless Lema, Gabriel Kivuyo ajivua uanachama na kujiunga na CCM

×

Subscribe to Maisha Yetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×