Israel Yapiga Marufuku Adhana Misikitini..!!!! BUNGE la Israel limeridhia muswada wa kwanza wa sheria, ambayo itaweka kikomo cha adhana – wito kwa Waislamu kwenda misikitini kutekeleza ibada ya sala. Aidha unapiga marufuku matumizi ya vipaza sauti wakati wowote. Hata hivyo