Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Wastara anusurika kifo kwa ajali ya 9 kuwahi kupata

Msanii wa filamu, Wastara Juma amenusurika kifo baada ya Kupata Ajali ya gari. Hiyo ni ajali yake ya 9 kuwahi kupata. Wastara amewahi kupata ajali ya gari iliyomlazimu akatwe mguu wake. “Dua zenu muhimu sana kwa mbao mnaonipenda na msionipenda,” ameandika kwenye picha aliyoweka Instagram inayomuonesha akiwa na jeraha usoni. “Hali hii imenichosha sana ya matukio ya ajali kila mara natamani



This post first appeared on Bongojunior, please read the originial post: here

Share the post

Wastara anusurika kifo kwa ajali ya 9 kuwahi kupata

×

Subscribe to Bongojunior

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×