Msanii wa filamu, Wastara Juma amenusurika kifo baada ya Kupata Ajali ya gari. Hiyo ni ajali yake ya 9 kuwahi kupata. Wastara amewahi kupata ajali ya gari iliyomlazimu akatwe mguu wake. “Dua zenu muhimu sana kwa mbao mnaonipenda na msionipenda,” ameandika kwenye picha aliyoweka Instagram inayomuonesha akiwa na jeraha usoni. “Hali hii imenichosha sana ya matukio ya ajali kila mara natamani