Na Okuly Julius-Dodoma
MKUU wa chuo cha mafunzo ya udereva cha Wide Institute of Driving jijini Dodoma, Faustine Matina ameishauri serikali kuweka mikakati ya kukomesha ajali nchini i… Read More
Na Okuly Julius-Dodoma
KATIKA kukabilia na ongezeko la ajali za barabarani nchini Chuo cha Udereva cha WIDE kwa kushirikiana na Serikali ya wilaya ya Chamwino wameanzisha programu ya m… Read More
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt Japhet Simeo akizungumza wakati alipozindua zoezi la wanachama,wapenzi na mashabiki wa timu ya Simba kuchangia damu katika Zahanati ya Kisosora Jijini Tang… Read More
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Leonard Nyandahu akionesha vifaa vya kupigia ramli chonganishi vilivyokamatwa
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shi… Read More
BIDHAA za mafuta ya breki ya dot 3, nguo za ndani za mitumba na nyaya za umeme ambazo zimepigwa marufuku nchini zenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 25 zimekamatwa kupitia operesheni maal… Read More
Zaidi ya madaktari 100 kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa wamepewa mafunzo na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), ili kuwawezesha kufanya tathmini stahiki kwa wafanyakazi wanaopata majanga kazi… Read More
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu wamewataka Watanzania kutumia Kondomu pindi wanaposhiriki ngono ili kujikinga na maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI na ku… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi.Rosemary Senyamule,akipata maelezo kutoka kwa Meneja Uhusiano VETA Bw.Sitta Peter mara baada ya kutembelea banda la VETA wakati wa Maonyesho ya Wiki ya Ubunifu 20… Read More
Mbunge wa Viti Maalumu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Agness Hokororo (aliyesimama) akifungua mafunzo ya usalama na afya kwa wajasiriamali wa Mkoa wa Mtwara katika Wilaya ya Tandahimba yaliyowasil… Read More
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka ya Botswana, Bw.Gopolang Maakwe akizungumza na viongozi wa Menejimenti ya OSHA wakati wa ziara yake ya kutembelea Ofisi za OSHA Dar es sala… Read More
Kiongozi wa Madakatri Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa-Tumbi Dkt. Amani Malima .Na. Catherine Sungura-TaboraKambi maalumu ya Madaktari Bingwa kutoka Hospitali za Rufaa za Mikoa… Read More
Mkurugenzi wa Mafunzo,Utafiti, Takwimu, na Uhamasishaji wa OSHA, Bw. Joshua Matiko akiwasilisha mada juu ya masuala ya usalama na afya mahali pa kazi katika kikao cha Baraza Kuu la TUCTA una… Read More
Kamishina wa Mafuta na Gesi Michael Mjinja akikata utepe kuzindua mafunzo tarehe 15, 2023 katika chuo cha Veta mkoani Tanga kwa ajili ya Watanzania 170 wanaopewa mafunzo ya kusimamia usalama… Read More
Na Marco Maduhu, SHINYANGAWATU watano wamepoteza maisha huku 54 wakijeruhiwa ajali ya Basi na Fuso kugongana uso kwa uso eneo la Ibadakuli Manispaa ya Shinyanga.Ajali hiyo imetokea leo… Read More
Benjamin John mkazi wa kata ya Kasamwa halmashauri ya mji Geita, amefariki dunia huku wengine wakinusurika kifo baada ya kusombwa na Maji wakati wakijaribu kuvuka katika mto Nyampa kuelekea… Read More
Uchunguzi wa awali kuhusu ajali iliyoondoa uhai wa wanandoa Tumaini John na Geofrey John mkoani Kagera unaonesha kuwa chanzo cha ajali hiyo ni dereva mmoja wa pikipiki aliyekuwa amepakia mag… Read More
Muonekano wa Tope likiendelea kusambaa kwenye makazi ya watu, mara baada ya bwawa la Mgodi wa Almasi Mwadui Kupasuka leo asubuhi, na kusababisha athari kwa wananchi CHAMA CHA DEMOKRASIA… Read More
Watoto wawili wa familia moja waliogongwa na basi la Machame Investment Septemba 21 majira ya saa 12.30 asubuhi wakati wakienda shule mkoani Kilimanjaro wamezikwa jana huku Polisi wakitoa ta… Read More
Naibu Waziri Jumanne Sagini akizungumza na abiria waliopata ajali ya basi la Shaloom Express iliyotokea jirani na Daraja la Mto Wami,mkoani Pwani 13/08/2022.Naibu Waziri Jumanne Sagini akika… Read More
Naibu Waziri wa Uwekezaji,Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe (Mb.) akizungumza katika hafla ya maadhimisho ya miaka 30 ya ushirikiano kati ya Kampuni ya 'Superdoll' na kampuni kubwa inayoo… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema amefungua Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari mkoa wa Shinyanga huku akiwapongeza waandishi wa habari mkoani humo kuendelea kufanya… Read More
Meneja Mwandamizi wa GGML anayeshughulikia masuala ya afya, usalama, mazingira na mafunzo Dk. Kiva Mvungi akipokea tuzo kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na… Read More
Mkazi wa Kijiji cha Itolwa wilayani Chemba mkoani Dodoma, Juma Juma (34) amefariki dunia baada ya kuukata uume wake kutokana na kile kinachoelezwa kuwa alipoteza nguvu za kiume.Inaelezwa kuw… Read More
RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Ijumaa tarehe 31 Desemba 2021, ametoa hotuba ya kuufunga mwaka 2021 na kuukaribisha mwaka mpya 2022.Rais Samia amezungumzia changamoto zilizotokea… Read More
Na Beatrice Kaiza, Mtanzania Digital
KAMPUNI ya Tigo Tanzania kwa kushirikiana na Kampuni ya Bima ya MIilembe Insurance wamezindua huduma mpya ya bima ya vyombo vya usafiri ijulikanayo kama… Read More