Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

MTOTO WA MIAKA 6 AMPIGA RISASI MWALIMU WAKE



Mwanafunzi mwenye umri wa miaka 6 amempiga risasi na kumjeruhi mwalimu wake, katika jimbo la Virginia.



Mkuu wa polisi Steve Drew amesema kwamba Tukio Hilo halikuwa la kimakosa na kwamba mwalimu, mwanamke mwenye umri wa miaka 30, amepata majeraha mabaya yanayotishia uhai wake.

Hakuna mwanafunzi aliyejeruhiwa katika tukio hilo.

Hakuna taarifa kamili kuhusu namna mtoto huyo alivyoapata bunduki.

Shughuli za masomo katika shule tukio lilitokea, zimesitishwa na hakuna masomo yataendelea Jumatatu.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

MTOTO WA MIAKA 6 AMPIGA RISASI MWALIMU WAKE

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×