Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

NYWELE NA NYUSI ZA BINTI ZAGOMA KUOTA MIAKA 23 SASA BAADA YA KUNYOLEWA NA BABA YAKE


Picha ya Kampire Josepha

Unaambiwa Bi Kampire Josepha (28) amekuwa akiishi bila nyusi na style ya para kichwani baada ya kunyolewa Nywele na baba yake akiwa na miaka mitano ambazo hazijaota mpaka leo.

Kwa sasa imepita miaka 23 Kampire Josepha kuishi bila nywele hizo na kupitia mahojiano aliyofanya nchini Rwanda, anasema familia yake inaamini kubaki na upara na kutoota nywele inasabishwa na imani za kishirikina.

Aidha bibi yake amesema mjukuu wake alizaliwa na nywele ila baada ya kunyolewa hazijamuota tena, pia wamehangaika kwa mganga wa kijiji aliyewapa dawa za mitishamba kupaka ili ziote lakini imeshindikana.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

NYWELE NA NYUSI ZA BINTI ZAGOMA KUOTA MIAKA 23 SASA BAADA YA KUNYOLEWA NA BABA YAKE

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×