Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Tshisekedi atangaza baraza jipya la mawaziri Congo DR

Rais Félix Tshisekedi ametangaza baraza jipya la mawaziri katika Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo.

Serikali ya kwanza ya rais Félix Tshisekedi imetangazwa leo Kinshasa, baada ya kusubiriwa kwa miezi saba.

Katika serkali hiyo mpya, wanawake wamepewa asilimia kumi na saba ya mawiziri na wanaume asilimia 83.

Mnamo Julai mwaka huu Rais wa DR Congo Felix Tshisekedi na mtangulizi wake Joseph Kabila walikubaliana kuunda serikali ya muungano.

Walikubali kuunda serikali itakayo kuwa na mawaziri 66.

Kama walivyo kubaliana, chama cha rais huyo wa zamani sasa kimepata wizara 43, na kile cha rais Félix Tshisekedi kimejinyakulia wizara 23.




This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Tshisekedi atangaza baraza jipya la mawaziri Congo DR

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×