Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Godbless Lema Afunguka Baada ya Kupewa Adhabu ya Kutohudhuria Mikutano Mitatu ya Bunge

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema adhabu aliyopewa na Bunge ya Kutohudhuria Mikutano Mitatu ni kitu kinachompa nguvu kwenye mapambano dhidi ya kudai haki na kamwe hatanyamaza Hata Kama Adhabu yake itakuwa ni mauti

Katika ujumbe ambao ameuandika katika akaunti yake ya Twittwer, Lema amesena, “Nimesimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge mpaka Januari 2020. Moyo wangu una amani sana, kwani mahusiano yangu na HAKI yanaendelea kuimarika zaidi.Nawatakia Wabunge wenzangu kazi njema katika wajibu huu, sitanyamaza hata kama adhabu itakuwa ni mauti.”

“Msiogope. Mungu aliyetupa macho sio kipofu kwamba haoni, Mungu aliyetupa masikio sio kiziwi kwamba hasikii.Yeye ni Mungu asiyekuwa na msongo wa mawazo kama sisi. Siku imekaribia sana kwa kila mtu kulipa kwa kadri alivyopanda.” Ameandika Godbless Lema




This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Godbless Lema Afunguka Baada ya Kupewa Adhabu ya Kutohudhuria Mikutano Mitatu ya Bunge

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×