Katika moja ya makala gazeti la Sunday Times, Msichana mmoja jamii ya Yazidi, huko Syria ameweka wazi mateso aliyokuwa akipewa na kundi la wapiganaji wa kiislamu wa ISIS na kusema kwamba aliwahi kubakwa na Wanaume Wapatao 40 nakutolewa usichana wake. Msichana huyo ambaye (jina limehifadhiwa) sasa ni mjamzito wa miezi 9, amesema kila siku alikuwa akibakwa na wanaume wapatao 40, na walikuwa