Kundi jingine la Watumishi wapatao 14 kutoka kada mbalimbali za Wizara ya Madini ikihusisha Makatibu Mahususi, Watunza Kumbukumbu na Wahudumu wametembelea Mgodi wa North Mara ulio… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza na Wathibiti ubora wa shule jijini Arusha.
Mkurugenzi Idara ya Uthibiti Ubora wa Shule Bw.Ephraim Simbeyi,akizungu… Read More
*Dkt. Biteko asema biashara nyingi Sekta ya Madini inafanywa na India
Arusha
Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko amesema ushirikiano wa kidiplomasia baina ya Serikali ya Tanzania na… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Juhudi za kukabiliana na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yanayotokana na wanaume kufanyiwa tohara za kimila katika Wilaya ya Serengeti Mkoani Mar… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 27,2023 jijini Dar es Salaam kuhusu ufadhili kwa wahitimu wa Kidato cha Sita wapatao… Read More
Na Mwandishi wetu - Malunde 1 blog
Naibu Katibu Mkuu wizara ya Maji nchini Mhandisi Cyprian Luhemeja amefanya ziara yake ya kikazi Mkoani Shinyanga kwa ajili ya ukaguzi wa utoaji wa h… Read More
Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital
Serikali imesema imani, mila, na desturi za kitamaduni, ukosefu wa usawa wa kijinsia bado ni miongoni mwa sababu zinazorudisha nyuma udhibiti wa magonjwa… Read More
*Ni ya ujenzi na ukarabati wa mabwa na skimu za umwagiliaji
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema katika mwaka 2022/2023, Serikali imesaini mikataba 31 yen… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Dola za Marekani (USD) 30,000,000.00 kutoka kwa Mtendaji Mkuu ambaye pia ni Ra… Read More
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala liwewaonya baadhi ya vijana wa ulinzi shirikishi kuacha tabia ya kujihusisha na vitendo vya kihalifu wakati wakitekeleza majukumu yao ya ulinzi katika… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeeleza hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini inayoendelea nchi nzima.
Taarifa ya utekelezaj… Read More
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Prof.Joyce Ndalichako,akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo lililofanyi… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili,Prof.Mohamed Janab akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 13,2022 Jijini Dar es Salaam. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Damu na Mkuu… Read More
*************************Kuwa wazi kwa siku saba (07) hadi Novemba 20*Wanafunzi 68,422 wa mwaka wa kwanza wapangiwa mikopo hadi sasaJumapili, Novemba 13, 2022Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa E… Read More
Askofu wa Kanisa la IEAGT Mjini Shinyanga David Mabushi, (kulia) ambaye kwa sasa pia ni Askofu Mkuu wa Makanisa ya IEAGT Tanzania, akizungumza mara baada ya kuibuka mshindi kwenye uchaguzi.N… Read More
Na Clara Matimo, Mwanza
Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango anatarajia kuikagua, kuzindua na kuweka jiwe la msingi kwenye miradi yenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 111 k… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza wakati akifungua kikao cha Tathmini ya Utekelezaji wa Mktaba wa Lishe kwa kipindi cha 2021/2022 na Kampeni ya Polio kw… Read More
Mkurugenzi Mkuu wa RUWASA Mhandisi Clement Kivegelo akizungumza na Waandishi wa habari leo Julai 19,2022 Jijini Dodoma.Na Dotto Kwilasa, DODOMA KWA mwaka wa fedha 2022/23 Wa… Read More
Habari mbaya kwa wale ambao huwa wanafurahia na kufikiri kwamba bilauri moja ya mvinyo kwa siku ni nzuri kwa kiafya.Utafiti mkubwa uliofanywa duniani na kuchapishwa katika jarida la lancet u… Read More
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akimkabidhi baiskeli Salome Samwel. Na Kadama Malunde – Malunde 1 blogWazee na watu wenye Ulemavu wapatao 210 kutoka vijiji vinavyozung… Read More
Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza linamshikilia Dianna Edward Bundala (Zumaridi) mwenye umri wa miaka 39, mkazi wa mtaa wa Buguku kata ya Buhongwa kwa kosa la usafirishaji haramu wa binadamu wa… Read More
Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zuwena Omary akizungumza wakati akifungua kikao cha wadau kwa ajili ya kuweka mikakati ya Kampeni Shirikishi ya Kinga dhidi ya UVIKO -19 na kuongeza k… Read More
Na Samir Salum - ShinyangaAskofu wa kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga Mhashamau Liberatus Sangu ameendelea kuwasisitiza vijana kutokubali kutumiwa kuvuruga amani ya nchi na badala yake watu… Read More
Safina Sarwatt, Rombo
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Matonyok Organization linalojishughulisha na Utunzaji wa Mazingira wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro, limeanza kutoa miche ya parachich… Read More