Awali sio tu Vifurushi ilikuwa hata Kununua DStv ilikuwa ujipange hasa... hapa nazungumzia kipindi kilee hata Tanzania haijalazimika kuingia katika mfumo wa matangazo ya Digital
( Utumiaji vung'amuzi )
Related Articles
Sasa mambo yamebadilika sana na yataendelea kubadilika kwenye bei ya kununua ( Kujiunga ) na bei ya vifurushi lakini ubora utabaki pale pale kwakuwa DStv licha ya ukongwe ndicho king'amuzi pekee ambacho hutakosa uvipendavyo..!
Kwenye kifurushi cha chini kabisa cha Tsh 19,000/= Bomba package kitakuwwezesha kuona channel 70, zikiwemo local za Tanzania na zile za nchi tunazopakana nazo, kuna za watoto zipatazo channel tatu, kuna super sports karibia nane, pia kwa package hii utapata wasaa wa kuangali Big brother!
DStv Kununua | Kupata mafundi +255789476655
Instagram @mustaphamadish