Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

CHANNELS 70 KWA TSH 19,000/=

Awali sio tu Vifurushi ilikuwa hata Kununua DStv ilikuwa ujipange hasa... hapa nazungumzia kipindi kilee hata Tanzania haijalazimika kuingia katika mfumo wa matangazo ya Digital
 ( Utumiaji vung'amuzi )
Sasa mambo yamebadilika sana na yataendelea kubadilika kwenye bei ya kununua ( Kujiunga ) na bei ya vifurushi lakini ubora utabaki pale pale kwakuwa DStv licha ya ukongwe ndicho king'amuzi pekee ambacho hutakosa uvipendavyo..!
Kwenye kifurushi cha chini kabisa cha Tsh 19,000/= Bomba package kitakuwwezesha kuona channel 70, zikiwemo local za Tanzania na zile za nchi tunazopakana nazo, kuna za watoto zipatazo channel tatu, kuna super sports karibia nane, pia kwa package hii utapata wasaa wa kuangali Big brother!
DStv Kununua | Kupata mafundi +255789476655
Instagram @mustaphamadish


This post first appeared on Mustapha MaDish Tech, please read the originial post: here

Share the post

CHANNELS 70 KWA TSH 19,000/=

×

Subscribe to Mustapha Madish Tech

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×