Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

TUNAWATAKIA SIKUKUU NJEMA NDUGU ZETU !!


Waislamu tupo ukingoni Katika kukamilisha moja ya nguzo muhimu katika dini yetu kama ambavyo tumeongozwa kutekeleza..
Leo ni chungu cha 28,bado siku moja ama mbili ili tumalize mfungo na tuingie kwenye Sikukuu ya Idd...
Nichukue nafasi hii kuwatakia kila la heri katika kumalizia mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhan na kusherehekea vema sikukuu..
 Na Salamu Hizi zinatolewa na MADISH TECHNOLOGY kwa ujumla!
Pamoja na salamu hizi pia tunawashukuru kuendelea kuwa pamoja nasi..
Tunathamini uwepo wetu na tunafanya kila njia kukidhi matakwa yenu bila ninyi wala tusingefika hapa..Tusherehekea sikukuu kwa amani na utulivu..!!


This post first appeared on Mustapha MaDish Tech, please read the originial post: here

Share the post

TUNAWATAKIA SIKUKUU NJEMA NDUGU ZETU !!

×

Subscribe to Mustapha Madish Tech

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×