Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

UNAZIJUA BEI NA OFFER ZA VING'AMUZI 2017!?


Biashara ushindani hivyo kuna maboresho kila kukicha kwenye swala la kukidhi haja za wateja na leo nakuletea list ya bei za ving'amuzi kwa mwaka 2017 na jinsi ya kununua kwa bei hii:-
  • Azam tv inauzwa Tsh 135,000/= Hii bila kifurushi wala Ufundi! Ila ina Offer katika malipo! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • Digitek inauzwa Tsh
  • DStv inauzwa Tsh 79,000/=  Hii bila Ufundi ila ina Offer ya kifurushi cha mwezi mmoja! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • Continental inauzwa Tsh ya Dish na Tsh ya Antenna. Hii bila ufundi ina Offer ya kifurushi cha mwezi mmoja! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • StarTimes inauzwa ya Dish Tsh na ya Antenna Tsh Hii bila ya Ufundi ina Offer ya kifurushi cha mwezi mmoja! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa
  • Ting inauzwa ya Dish Tsh na ya Antenna Hii bila Ufundi
  • Zuku tv inauzwa Tsh 88,000/= Hii bila Ufundi ila ina Offer ya kifurushi cha mwezi mmoja! Kwa maelezo zaidi Bofya Hapa


This post first appeared on Mustapha MaDish Tech, please read the originial post: here

Share the post

UNAZIJUA BEI NA OFFER ZA VING'AMUZI 2017!?

×

Subscribe to Mustapha Madish Tech

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×