Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Barakah The Prince ajikita kwenye kilimo cha mboga mboga


Barakah The Prince ajikita kwenye kilimo cha mboga mbogaMuimbaji wa muziki Barakah The Prince amedai kwa sasa ameamua kuingia kwenye biashara ya kilimo ili kuwa na kipato nje ya muziki. Akiongea katika cha kipindi cha Twenzetu cha Times Fm, Barakah amedai nje ya muziki ameamua kijikita kwenye kilimo cha mboga mboga. “Nina shamba Morogoro na Tarime,Tarime nimelima Matikiti maji na Morogoro nimelima Vitunguu ,Kabichi na Mboga Mboga , bado sijaanza kuvuna ni shanba ambalo nimelikodisha kama miezi miwili hadi sasa ,Masanja ndio alinishawishi kuingia katika masuala ya kilimo.” alisema Barakah. Muimbaji huyo alisema hayo alipotembelea kutuoni hapo kuutambulishwa wimbo wake mpya ‘Acha Niende’ ambapo aliambatana na mpenzi wake Naj.


This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Barakah The Prince ajikita kwenye kilimo cha mboga mboga

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×