Haya sasa Barnabas Naye ameanza taratibu kutuonyesha MTU wake ama Nene? Kama wengi mjuavyo Mwanamuziki Barnaba alizenguana na mkewe na kuachana ambapo aliyekuwa mkewe Siku ya Valentine day alionyesha ulimwengu kuwa AME move on kwa picha iliyosambaa akiwa na mwanaume mwingine..
Sasa Barnaba na yeye amekuja na kupost picha akiwa na msichana mwingine huku akituachia kitendawili...