Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Barnaba apata mpenzi mwingine baada ya kuachana na mke wake

Haya sasa Barnabas Naye ameanza taratibu kutuonyesha MTU wake ama Nene? Kama wengi mjuavyo Mwanamuziki Barnaba alizenguana na mkewe na kuachana ambapo aliyekuwa mkewe Siku ya Valentine day alionyesha ulimwengu kuwa AME move on kwa picha iliyosambaa akiwa na mwanaume mwingine..
Sasa Barnaba na yeye amekuja na kupost picha akiwa na msichana mwingine huku akituachia kitendawili...



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Barnaba apata mpenzi mwingine baada ya kuachana na mke wake

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×