Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Rasimi Juuko atua msimbazi

Tags: juuko simba beki

BEKI wa kimataifa wa Uganda Juuko Murshid amewasili Dar kukiongezea nguvu kikosi cha Simba SC kwa mechi zilizobaki za kombe la shirikisho na zile mechi saba za ligi kuu.
Juuko ambaye alikuwa na matatizo ya kifamilia kwa kufiwa na watoto wake watatu (mapacha) akiwa anaitumikia timu ya taifa ya Uganda kwenye michuano ya AFCON nchini Gabon amewasili jana.
Shaffidauda.co.tz imezungumza na meneja wa Simba Mussa Hassan Mgosi amedhibitisha kumpokea Juuko na kumwambia awasili leo Jumatatu kwenye mazoezi ya timu hiyo uwanja wa Polisi baada ya wachezaji wote wa Simba kupewa mapumziko ya siku moja (jana).
Kurudi kwa Juuko kunaweza kuwa faraja kwa wanachama na wapenzi wa Simba kutokana na beki wao Method Mwajale kuwa majeruhi na bado hawana imani na beki Novalty Lufunga.
Simba imeshuka dimbani mara 23 na kuhhjikusanyia alama 54, huku ikikabiliwa na mchezo ugumu dhidi ya Mbeya City March 4.



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Rasimi Juuko atua msimbazi

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×