WANAFUNZI WANNE CHUO KIKUU KIU- Dar Wakifishwa Mahakamani KWA KUMKASHFU RAIS MAGUFULI WHATSAPP Wanafunzi wanne wa Chuo Kikuu cha Kampala(KIU) kampasi ya Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, kujibu shitaka la kusambaza picha za kumkashifu Rais John Magufuli kupitia mtandao wa