Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

NI KWANINI BAADHI YA WANAWAKE WAKISHAOLEWA WANAWACHUKIA NDUGU WA MUME?? BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI

MAHUSIANO: Kwanini baadhi ya wanawake wakishaolewa hawawapendi ndugu wa mwanaume? Kabla ya kuolewa unakuta Mwanamke Anajipendekeza Ukweni mara ampelekee mama mkwe vizawadi Ili Mradi Aolewe

Akishaolewa vitimbi vinaanza hataki Kuona Mwanaume Anasaidia kwao.

Kabla ya kuoa unakuta mwanamke Anajipendekeza Ukweni Mara ampeleke mama mkwe vizawadi ili mradi aolewe akishaolewa vitimbi vinaanza hataki kuona mwanaume anasaidia kwao.

Lakini ukisaidia kwao hakuna shida hivi kweli inafikia sehemu mwanamke anamzuia mume wake kumsomesha mdogo wa ndugu zake wakiwatembelea wanaishi vizuri wakija ndugu wa mwanaume wanaishi kwa gubu.

Wanawake wenye tabia kama hii badilikeni hakuna aijuae kesho unaweza siku moja kwenda kuomba msaada kwa hao uliokuwa unawafanyia gubu.



This post first appeared on Mutalemwa, please read the originial post: here

Share the post

NI KWANINI BAADHI YA WANAWAKE WAKISHAOLEWA WANAWACHUKIA NDUGU WA MUME?? BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI

×

Subscribe to Mutalemwa

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×