2024-05-03 21:51
Blog Directory > Arts & Entertainment Blogs > MASWAYETU arts-and-entertainment Blog >
Maswayetu Blog
Maswayetu.blogspot.com
Tags:
magazeti
wakicheza muziki
watetezi
bulombora mkoani kigoma
zebaki
orxy energies benoit
kikosi cha jeshi
kigamboni dar
cha jeshi maramba
wakicheza muziki baa
This is the blog that publish all news without considering race or tribalism,so you are all welcome to contribute in this blog to make it develop
2024-05-03 07:51
Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akizungumza wakati wa ziara yake ya kukagua mradi wa kilimo cha… Read More
2024-05-02 21:51
Magazeti Read More
2024-05-02 10:51
MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi Batilda Burian akikagua gwaride kabla ya kufunga mafunzo ya awali ya ya Kijeshi kwa vijana wa kujitolea Operesheni miaka 60 ya JKT kikosi cha Jeshi 838 Maramba… Read More
2024-05-01 21:51
2024-05-01 08:51
Mkazi wa Tegeta jijini Dar es Salaam, Kadi Msela, ameuawa kwa madai ya kuchomwa kisu na rafiki yake aliyetajwa kwa jina moja la Amir, wakati wakicheza muziki baa.
Kamanda wa Polisi Kanda… Read More
2024-05-01 07:51
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kushirikiana na ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali pamoja na Ofisi ya Afisa madini Mkazi Mkoa wa Mwanza wametoa elimu ya matum… Read More
2024-04-30 22:51
MKURUGENZI Mkuu wa Kampuni ya Orxy Energies, Benoit Araman, akiwa na wahariri na waandishi wa habari, baada ya kukabidhi majiko na mitungi ya gesi ya kupikia, Kigamboni, Dar es Salaam, jana… Read More
2024-04-30 09:51
Mratibu wa kitaifa wa Shirika la watetezi wa haki za binadamu Onesmo Olengurumwa akifungua mafunzo hayo
Na Christina Cosmas, Morogoro
WATETEZI wa haki za binadamu wamesisitizwa kuhakik… Read More
2024-04-30 07:51
Magazeti Read More
2024-04-29 10:51
Wizara ya Kilimo imeendelea na mikakati kabambe ya uwekezaji kwenye miundombinu ya uhifadhi wa mazao ili kuhakikisha nafaka na mazao mbalimbali yanakidhi vigezo vya ubora katika soko na… Read More
2024-04-29 06:51
Na Mbuke Shilagi Bukoba
Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imewataka wafanyabiashara wa bodaboda kulipa kodi kwa mwaka Tsh. 65,000/= ambapo kodi ya TRA inalipwa kwa awamu nne sawa na Ts… Read More
2024-04-28 21:51
Magazeti Read More
2024-04-28 09:51
Na Oscar Assenga,KOROGWE.
KAMPENI ya Usalama barabara inayotolewa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana an Shirika la Amend Tanzania kupitia Ubalozi wa Uswis nchini umewafikia waendesha pikip… Read More
2024-04-28 07:51
Magazeti
Read More
2024-04-28 07:51
Na Marco Maduhu,SHINYANGA
KANISA la Waadventista Wasabato ukanda wa dhahabu Nyanza Gold Belt Field (NGBF),wamehitimisha Semina Maalumu ya Mafundisho ya Afya, Biashara, Kaya na Familia i… Read More
2024-04-27 12:51
2024-04-27 11:51
Na Kadama Malunde & Marco Maduhu - Shinyanga
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi ambaye ni Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemav… Read More
2024-04-26 21:51
Mkulima kijana kutoka jijini Arusha anayefahamika kwa jina la Edward Jacob anayejihusisha na kilimo cha Mbogamboga na Matunda ameeleza faida za matumizi ya Mbegu bora na matarajio ya… Read More
2024-04-26 13:51
2024-04-26 11:51
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jumla ya Vijana 58 kutoka mikoa ya Tabora, Mwanza, Geita na Simiyu wamehitimu mafunzo ya kutengeneza Vihenge yaliyotolewa na Shirika la Kuhudumia Viwanda… Read More
2024-04-26 08:51
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25, 2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na madarasa mengine mawili katika Shule ya Msingi I… Read More
2024-04-25 21:51
Magazeti Read More
2024-04-25 06:51
Na Sumai Salum - Kishapu
Bonanza la michezo ya mpira wa miguu,pete na kukumbiza kuku limehitimishwa April 24,2024 katika viwanja vya michezo shule ya msingi Buduhe Wilayani K… Read More
2024-04-24 22:51
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
WADAU mbalimbali wa masuala ya Jinsia na Maendeleo wamekutana katika Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) na kuichambua bajeti ya Ofisi ya Rais (Mipan… Read More
2024-04-24 22:51
Mkuu wa Mkoa wa Tanga akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea wakulima wa zao hilo katika Mtaa wa Sahare Kijijini Kata ya Mzingani Jijini Tanga ambao pia alizungumza na wakulima w… Read More
2024-04-24 09:51
Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara ya Kilimo, Obadia Nyagiro,akizungumza wakati wa kikao cha wadau wa Kilimo Ikolojia hai kilichoratibiwa chini ya mwamvuli wa Taasisi za Kilimo Hai Ta… Read More
2024-04-23 22:51
Na Marco Maduhu,SHINYANGA
MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Anamringi Macha,amefungua Rasmi Semina ya Familia,Malezi,Biashara na huduma za Afya, ambayo inaendeshwa na Kanisa la Waadventista Was… Read More
2024-04-23 21:51
Wananchi,watumishi na viongozi wa dini wakiwa kwenye ibada maalum ya kuliombea Taifa,Viongozi wa Kitaifa ikiwa ni maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano
Mwinjilisti wa kanisa la Kiinj… Read More
2024-04-23 14:52
Taasisi ya Internet Society Tanzania imewahimiza wananchi kutumia fursa ya huduma ya Internet kujiletea maendeleo, badala ya kufuatilia mambo yasiyo ya msingi na kupoteza muda na gharama z… Read More
2024-04-23 07:51
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Shinyanga Donasian Kessy akizungumza na waandishi wa habari
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Shinyanga (… Read More
2024-04-23 05:51
Na Mbuke Shilagi Bukoba.
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wamefanya maandamano ya amani Aprili 22,2024 katika Mkoa wa Kagera wilaya ya Bukoba ambapo katika Kanda ya ziwa Victori… Read More
2024-04-22 21:51
2024-04-22 11:51
KAMISHNA JENERALI wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za kulevya Aretas Lyimo akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam
***
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana… Read More
2024-04-22 07:51
Msanii wa nyimbo zaa asili mdogo kuliko wote Jinasaa Madebe ambaye ni mtoto wa Manju maaarufu Madebe Jinasa anakualika kutazama video yake mpya inaitwa Haki za watoto Read More
2024-04-22 07:51
2024-04-21 21:51
2024-04-21 09:51
Na Mwandishi Wetu,
Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mhe. Jenista Mhagama amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha upatikanaji… Read More
2024-04-21 08:51
DODOMA
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, Aprili 20, 2024 amefanya mazungumzo na ujumbe kutoka Kampuni ya uchimbaji Madini ya Perseus ya nchini Australia iliyowakilishwa na Afisa M… Read More
2024-04-20 21:51
2024-04-20 11:51
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Benki ya NMB imezindua kampeni ya Umebima Wilaya ya Kahama Mkoa wa Shinyanga - Kanda ya Magharibi kwa lengo la kuhamasisha Watanzania kukata Bima… Read More
2024-04-20 03:51
Wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa, wa Bunge la Uganda, wakiwa kwenye mazungumzo na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka, ofisini kwake Dodoma.
… Read More
2024-04-19 21:51
2024-04-19 14:51
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel wakimkabidhi mtungi wa kupikia wa gesi ya Orxy mmoja wa wauguzi katika hospital… Read More
2024-04-19 06:51
Na Oscar Assenga,TANGA
WAZIRI wa Ardhi,Nyumba na Mendeleo ya Makazi Jerry Silaa anatarajiwa kuongoza Kliniki ya Ardhi kwa mkoa wa Tanga itakayofanyika kuanzia Aprili 22 mpaka 28 mwaka… Read More
2024-04-18 21:51
2024-04-18 08:51
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Mha.Poline Msuya akifungua kikao kazi cha Wakurugenzi wa Mamlaka za maji kuhusu mfumo wa kieletroni wa MajIs ulioboreshwa kwa ajili ya kupokea taarifa za… Read More
2024-04-18 08:51
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Daniel Machunda, akizungumza wakati wa semina ya siku moja kwa wadau mbalimbali iliofanyika mkoani
Kaimu Msajili na Mkuu wa FCT, Kunda Mke… Read More
2024-04-17 22:51
2024-04-17 09:51
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biasha, Exaud Kigahe amebainisha mpango wa Serikali katika kuwasaidia wajasiriamali kuzalisha bidhaa bora ili kupata masoko ya uhakika.
Akijibu swali la msingi… Read More
2024-04-17 06:51
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limekamata mafuta ya dizeli lita 320, vipande 250 vya nondo, Simu za wizi, Nyaya na matairi ya gari baada ya kufanya doria, misako na Operesheni mbal… Read More
2024-04-16 21:51
2024-04-15 21:51
Na Marco Maduhu,SHINYANGA
UMOJA wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya Ibadakuli Manispaa ya Shinyanga umefanya Kongamano la Miaka Mitatu ya Rais Samia Suluhu Hassan Madarakani, kwa ku… Read More
2024-04-15 11:51
Kamati ya wataalamu wa masuala ya habari Zanzibar (ZAMECO) imekuwa mstari wa mbele katika jitihada za kufuatilia mchakato wa marekebisho ya sheria za habari ikiwemo sheria ya Utangazaji No… Read More
2024-04-15 05:51
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 Godfrey Mnzava katikati akifungua koki ya maji baada ya kuzindua mradi wa maji wa kuboresha hali ya upatikanaji wa huduma ya maji Kata ya… Read More
2024-04-14 21:51
Magazeti
Read More
2024-04-14 13:51
Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Adv Stephen Byabato akizungumza na wananchi .
Na Mariam Kagenda - Kagera
Katika kipindi cha miaka 3 ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Manispaa ya Bukob… Read More
2024-04-14 11:51
Meneja wa Barrick nchini, Melkiory Ngido (kulia) akimkabidhi mwanzilishi wa Maktaba ya Jamii ya Martha Onesmo iliyopo Mwanga mkoani Kilimanjaro kwa mwazilishi wake,Jennifer Dickson (katik… Read More
2024-04-14 10:51
Hii hapa ngoma nyingine ya Msanii Maarufu Maliganya Madirisha 'Shikomba Bhulolo' inaitwa Shule.. Video nzuri hakika utafurahia Read More
2024-04-13 10:51
Na Dotto Kwilasa, DODOMA..
Wizara ya Afya, kwa kushirikiana na wadau wa
maendeleo imeandaa kampeni ya kitaifa ya kutoa,Chanjo ya Kukinga saratani ya mlango wa Kizazi kwa was… Read More
2024-04-13 08:51
Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dk, Emmanuel John Nchimbi na ujumbe wake amewasili asubuhi hii mkoani Katavi kuanza ziara ya mikoa sita nchini. Katika ziara hii anaongozana na Katibu wa Halmasha… Read More
2024-04-12 21:51
2024-04-12 10:51
2024-04-12 08:51
Shinje Original anakualika kutazama ngoma yake Mpya inaitwa CHEZA! Bonge la Sebene Mtu wangu Read More
2024-04-12 04:51
Magazeti Read More
2024-04-12 04:51
Jina langu ni Ndelekwa kutokea Arusha nchini Tanzania, ni kijana na umri wa miaka 25 kwa sasa, nakumbuka nilipomaliza kidato cha nne nilianza michakato ya kuona napataje nafasi ya k… Read More
2024-04-11 15:51
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wageni mbalimbali pamoja na Waumini wa Dini ya Kiislamu kwenye Baraza la Eid El Fitr ambalo Kitaifa limefany… Read More
2024-04-10 21:51
Mbunge wa jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Geophrey Pinda akipata maelezo ya maendeleo ya ujenzi wa jengo la Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya M… Read More
2024-04-10 16:51
Kisima Majabala anakualika kutazama video yake Mpya inaitwa Nahobakhe Read More
2024-04-10 13:52
Jina langu ni Samson, nilikuja Mwanza, Tanzania kutokea kijijini kupambania maisha, nashukuru mambo yalienda vivuri tu, kazi nilipata na fedha pia nilipata, sio haba kusema kweli.
Kama una… Read More
2024-04-10 08:51
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa ameipongeza Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa namna inavyodhibiti biashara ya dawa… Read More
2024-04-09 21:51
2024-04-09 10:51
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza wakati wa hotuba ya ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere, lililofanyi… Read More
2024-04-08 21:51
2024-04-08 13:51
Hii hapa ngoma mpya ya The Big Trump 'Nelemi Mbasando' inaitwa Shule Read More
2024-04-08 11:51
Jina langu Abduli kutokea Kigoma, Tanzania, mimi ni yatima, sasa nakumbuka nikiwa na miaka kama 20 hivi, alitokea mama mmoja mzungu ambaye alikuwa na taasisi ya kusaidia watoto na… Read More
2024-04-08 10:51
SERIKALI inatambua umuhimu wa vivuko na madaraja katika Jimbo la Singida Mashariki ambapo kupitia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini imeweka katika mpango wake kwa mwaka wa fedha 202… Read More
2024-04-07 22:51
Magazeti Read More
2024-04-07 14:51
MJUMBE wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania(UWT)Taifa na Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa jumuiya hiyo Marima Ulega amekabidhi simu za mkononi tisa kwa ajili ya kufani… Read More
2024-04-07 05:51
DODOMA; Idadi ya wawekezaji wa Kigeni wenye dhamira ya kufanya uwekezaji katika kijiji cha Nguruwe imezidi kuongezeka katika kijiji cha Mayamaya wilayani Bahi Mkoani Dodoma baada ya… Read More
2024-04-06 21:51
2024-04-06 08:51
Hii hapa Ngoma Mpya ya Maliganya Madirisha inaitwa Simba na Yanga Read More
2024-04-05 21:51
2024-04-05 14:51
Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu ,shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. Upungufu wa ngu… Read More
2024-04-05 12:51
Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi, Jumanne Wambura Wagana (kushoto) akimkabidhi madawati Mkuu wa Wilaya ya Urambo Mh. Eribariki Bajuta.
Meneja wa CRDB Kanda ya Magharibi Nd… Read More
2024-04-05 01:51
Wanafunzi wanaotarajia kuhitimu masomo ya kidato cha Sita katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wamehimizwa kutumia elimu waliyoipata shuleni kuleta mabadiliko katika j… Read More
2024-04-04 21:51
2024-04-04 10:51
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Aretas Lyimo akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za DCEA leo Aprili 4, 2024 Jijin… Read More
2024-04-04 09:51
Hii hapa ngoma Mpyaa kabisa ya Bhudagala Mwanamalonja inaitwa Nzuna Wane
Read More
2024-04-04 06:51
Na Dotto Kwilasa,DODOMA
WAZIRI Wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stergomena Tax , amesema wizara yake kupitia JWTZ imechangia katika kulinda mipaka ya nchi pa… Read More
2024-04-03 22:51
2024-04-03 14:51
2024-04-03 13:51
2024-04-03 11:51
Picha ikionesha moja ya chungu cha maua kilichowekwa kando ya barabara kikiwa kimewekwa uchafu ambao haukujulikana umewekwa na nani.
Na Dotto Kwilasa,DODOMA
HALMASHAURI ya Jiji… Read More
2024-04-02 21:51
2024-04-02 12:51
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah akiwa na wa Makatibu Wakuu unaojumuisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Natu Mwamba, Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Joh… Read More
2024-04-02 09:51
Watu wawili jinsi ya kike wakazi wa Kiwanja Kata ya Mbugani Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wameuawa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka miwili kujeruhiwa kwa vitu vyenye ncha kali nyumb… Read More
2024-04-01 17:51
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Mhe. Tabia Mwita akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru leo Aprili 1, 2… Read More
2024-04-01 14:51
Jina langu naitwa Jesca kutokea Arusha, Tanzania, wakati naanza mahusiano na mpenzi wangu nilimkuta ni mtu anayekunywa sana pombe na kuvuta sigara, ndio ulikuwa mtindo wake wa maisha kila… Read More
2024-04-01 04:51