Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Je! Habari iliyo katika 1Nyakati 21:25, na 2Samweli 24:24, ya Daudi kununua kiwanja  inajichanganya?

SWALI:  Ni ipi gharama sahihi ambayo Daudi aliilipia, kununulia shamba la Arauna, kwa ajili ya kumjengea Mungu hekalu. Je! Ni shekeli 600, au shekeli 50?. Je! Biblia inajichanganya. JIBU:  Tusome, 2Samweli 24: 24 Lakini mfalme akamwambia Arauna, La, sivyo; lakini kweli nitavinunua kwako kwa thamani yake; wala sitamtolea Bwana, Mungu wangu, sadaka za kuteketezwa nisizozigharimia. Read More

The post Je! Habari Iliyo Katika 1Nyakati 21:25, na 2Samweli 24:24, ya Daudi kununua kiwanja  inajichanganya? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.



This post first appeared on Cloud Of Witnesses, please read the originial post: here

Share the post

Je! Habari iliyo katika 1Nyakati 21:25, na 2Samweli 24:24, ya Daudi kununua kiwanja  inajichanganya?

×

Subscribe to Cloud Of Witnesses

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×