Wakili kibiblia ni mtu aliyepewa usimamizi wa nyumba (Au kaya) ya mtu mwingine. Na usimamizi huo unajumuisha kuanzia kwenye ngazi ya kifamilia, mpaka mali alizonazo bwana wake. Uwakili tunaona tangu enzi za agano la kale, kwamfano, Eliezeri alikuwa ni Wakili wa Ibrahimu. Na tunaona yeye ndio alikuwa mwangalizi wa mali zake, lakini pia ndiye aliyehusika Read More
The post Wakili ni nani kibiblia? Uwakili ni nini? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.