Jibu: Tusome, Mwanzo 33:17 “Yakobo akaendelea mpaka Sukothi. Akajijengea nyumba, akawafanyia makundi yake vibanda. Kwa hiyo jina la mahali pale pakaitwa Sukothi”. Tafsiri ya neno “Sukothi” ni “Mahema”.. Hii ni lugha ya kiebrania. Mahali hapa ni pale ambapo Yakobo alipiga kambi baada ya kutoka Padan-aramu, mji aliokuwepo Labani.(Mwanzo 28:1-2), na alikaa huko Padan-aramu kwa muda Read More
The post Sukothi ni nini? (Mwanzo 33:17). appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.