Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Kujikinai/kukinai ni nini?

Neno hilo kama linavyotumika kwenye biblia..linamaanisha aidha mojawapo ya mambo haya matatu: 1. Kwamfano Katika vifungu hivi limetumika kwa tafsiri ya kushiba,.. Mithali 27:7 [7]Nafsi iliyoshiba hukinai sega la asali;  Bali nafsi yenye njaa huona kila kitu kichungu kuwa kitamu. Mithali 25:17 [17]Mguu wako usiingie katika nyumba ya jirani yako ila kwa kiasi;  Asije akakukinai Read More

The post Kujikinai/kukinai ni nini? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.



This post first appeared on Cloud Of Witnesses, please read the originial post: here

Share the post

Kujikinai/kukinai ni nini?

×

Subscribe to Cloud Of Witnesses

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×