Neno hilo kama linavyotumika kwenye biblia..linamaanisha aidha mojawapo ya mambo haya matatu: 1. Kwamfano Katika vifungu hivi limetumika kwa tafsiri ya kushiba,.. Mithali 27:7 [7]Nafsi iliyoshiba hukinai sega la asali; Bali nafsi yenye njaa huona kila kitu kichungu kuwa kitamu. Mithali 25:17 [17]Mguu wako usiingie katika nyumba ya jirani yako ila kwa kiasi; Asije akakukinai Read More
The post Kujikinai/kukinai ni nini? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.