SWALI: Maandiko yanasema tusilaani, je! Paulo Aliwalaani Wagalatia na wakorintho? Wagalatia 1:8 Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe. 9 Kama tulivyotangulia kusema, na sasa, nasema tena, mtu awaye yote akiwahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe. 1Wakorintho 16:22 Mtu awaye yote Read More
The post je! Paulo aliwalaani Wagalatia na Wakorintho? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.