Biblia haijotoa ‘fomula’, ya idadi ya nyakati tunazopaswa kuomba kwa siku. Ila imesema ‘tuombe kila wakati’ na sehemu nyingine imesema ‘tuombe bila kukoma’. Hiyo ni kutupa uelewa kwamba maombi yanapaswa yawe ni endelevu lakini pia yawe ya wakati wote. Na hakuna mahali maandiko yanatoa nafasi ya mwaminio kutokuomba kabisa. Waefeso 6:18 “kwa sala zote na Read More
The post JE! TUNAPASWA TUOMBE Mara Ngapi Kwa SIKU? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.