Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

JE! TUNAPASWA TUOMBE MARA NGAPI KWA SIKU?

Biblia haijotoa ‘fomula’, ya idadi ya nyakati tunazopaswa kuomba kwa siku. Ila imesema ‘tuombe kila wakati’ na sehemu nyingine imesema ‘tuombe bila kukoma’. Hiyo ni kutupa uelewa kwamba maombi yanapaswa yawe ni endelevu lakini pia yawe ya wakati wote. Na hakuna mahali maandiko yanatoa nafasi ya mwaminio kutokuomba kabisa. Waefeso 6:18  “kwa sala zote na Read More

The post JE! TUNAPASWA TUOMBE Mara Ngapi Kwa SIKU? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.



This post first appeared on Cloud Of Witnesses, please read the originial post: here

Share the post

JE! TUNAPASWA TUOMBE MARA NGAPI KWA SIKU?

×

Subscribe to Cloud Of Witnesses

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×