Alani ni kifuko cha kuhifadhia Upanga ambacho huvaliwa kiunoni na askari hususani wakati wa vita. Tazama picha juu. Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi; 1Samweli 17: 51 “Ndipo Daudi akapiga mbio, akasimama juu ya Mfilisti, akautwaa upanga wake, akaufuta Alani mwake, akamwua, akamkata kichwa kwa upanga huo. Nao Wafilisti walipoona ya kuwa shujaa wao amekufa, Read More
The post Alani ni nini?(1Samweli 17:51) appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.